• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018

10 January 2018

 

Malengo ya Ziara

  • Kuinua  kiwango cha ufaulu kwa shule za msingi na sekondari katika Mkoa.
  • Kutembelea kila Halmashauri za mkoa wa Mwanza siku 5 kila Halmashauri ili kutoa ushauri kuhusu mambo yote yanayohusu elimu.

Makundi ya  ziara

  • Mkuu wa mkoa
  • KatibuTawala wa mkoa
  • Wakuu wa Wilaya
  • Wakurugenzi wa Halmashauri
  • Maafisa elimu
  • Wadhibiti  ubora wa  elimu
  • Makatibu  wa  walimu TSC
  • MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA ZIARA (HADIDU ZA REJEA)
  • Kuangalia  mahudhurio ya  walimu  na  wanafunzi  kwa  kuzingatia  ikama.
  • Daftari la mahudhurio  ya  walimu  na  wanafunzi
  • Daftari la usajili  wa  wanafunzi
  • Shajala
  • Uandikishaji  wa  wanafunzi  wa  darasa la kwanza na awali 2018.
  • Uwepo  wa ratiba  ya  masomo  na  utekelezaji wake
  • Chati ya ufundishaji wa masomo kwa wiki
  • Ukamilishaji wa mada kwa wakati.
  • Uandaaji wa maazimio, maandalio, nukuu za somo na ukamilishaji wake.
  • Matumizi ya vifaa vya kufundishia na  kujifunzia.
  • Zana za  kufundishia/kujifunzia  kulingana  na  mazingira
  • Vitabu
  • Vifaa  vya  maabara.
  • Kuainisha  wanafunzi  wasiojua KKK na  mikakati  ya  utatuzi  wa  tatizo la wasiojua KKK.
  • Uwepo  wa  elimu  ya  Awali  kwa  kila  shule, Elimu  Jumuishi  na  Elimu  ya  watuWazima  na  Elimu  nje  ya Mfumo  Rasmi.
  • Mgawanyo  wa  majukumu  shuleni  na  utekelezaji wake.
  • Miundombinu
  • Vyumba  vya  madarasa
  • Matundu  ya  vyoo
  • Maabara
  • Ofisi  za  walimu/mwalimu  Mkuu
  • Nyumba  za  walimu
  • Mabweni
  • Maktaba
  • Taarifa  ya   mapato  na  matumizi  ya  fedha  za  ruzuku
  • Uwazi  na  ushirikishwaji
  • Cash book
  • Store ledger
  • Tatizo la mimba shuleni
  • Kubaini Taasisi  zinazochangia  maendeleo  ya  elimu
  • Michezo   shuleni
  • Wimbo  wataifa
  • Wimbo  wa  uzarendo
  • Bendera  yaTaifa
  • Mazoezi ya viungo/mchakamchaka
  • Mitihani  shuleni
  • Ufanyikaji wa  mitihani  shuleni
  • Benki  za  maswali
  • Utoaji  wa  matokeo  na  ufanyikaji  wa  tathimini  ikiwa  ni  pamoja  na  kuainisha  changamoto  za  mitihani  na  njia  za  kutatua
  • Motisha  kwa  walimu  na  wanafunzi.
  • Uwepo  wa  kadi  za  maendeleo  shuleni (Cummulative card)
  • Utekelezaji wa kikao cha wadau  waelimu
  • Kikao cha tathmini
  • Maoni na  mapendekezo
  • Ushirikishwaji  wa  jamii  katika  kuchangia  elimu


Ratiba ya Ziara: 

Ziara  itaanza  kuanzia  tarehe 15 Januari, 2018 kama  inavyoonekana  hapa  chini  kwenye   ratiba

Na
Tarehe
Halmashauri
1
Januari
Ukerewe
2
Februari
Magu na Kwimba
3
Machi
Mwanza Jiji, Ilemela na Misungwi
4
Aprili
Buchosa na Sengerema

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO KUTWA NA BWENI CHA KWANZA MWANZA 2019 December 17, 2018
  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. May 01, 2019
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mwanza Yajipanga kutokomeza ongezeko la watoto wa mitaani

    November 15, 2019
  • Tathmini ya mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia Yafanyika Mwanza

    November 11, 2019
  • Elimu kuhusu hali ya hewa yatolewa Mwanza

    November 06, 2019
  • Mechi ya Kirafiki Yakonga nyoyo za mashabiki Mwanza

    November 05, 2019
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.