• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Daraja la Simiyu lafungwa kupisha matengenezo

Posted on: March 6th, 2020


Daraja la mto Simuyu lililoko Wilayani Magu, barabara kuu ya Mwanza-Musoma limeharibika kutokana na uchakavu jambo lilipelekea vyuma kukatika lita fungwa kwa muda wa siku 10 ili kupisha utekelezwaji wa matengenezo makubwa .

Akiwasilisha taarifa ya ufungwaji wa daraja hilo Meneja  wa Tanroads Mkoa wa Mwanza Mhandisi Marwa M. Rubirya alisema watafunga barabara ya Mwanza- Musoma kuanzia Machi 8 hadi 18 mwaka huu ili kupisha matengenezo makubwa ya daraja hilo.

Mhandisi Rubirya ameongeza kuwa wameamua kufanya matengenezo ya haraka ili kujiepusha na hatari zitakazoweza kujitokeza kwa sababu kuchelewa kwa ujenzi huo yaweza kuwa hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo .

Aliongeza kuwa barabara hiyo itafungwa ili kupisha matengenezo kuanzia saa tatu usiku hadi saa 11 asubuhi  pia aliomba ushirikiano wa Jeshi la polisi katika kutekeleza kazi hiyo.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa daraja hilo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella alisema kutokana na changamoto hiyo njia zitafugwa kwa muda uliopangwa  kwa siku  kumi ili kupisha matengenezo hayo.

Alisema Serikali inampango wa kujenga daraja jipya hivyo hatua zinazofanyika sasa  ni za muda mfupi, aliwataka wananchi kuwa wavumilivu waweze kuboreshewa njia itakayowanufaisha na kuendeleza ujenzi wa taifa.

" Hali halisi ilivyo na nyie mmeiona ninachowaomba muwe wavumilivu ujenzi ufanyike ili kuepusha madhara makubwa ya baadaye" alisema Mhe.Mongella.

Lusia Isack ni mmoja wa wakazi wa Magu akizungumzia adha hiyo alisema wanakuwa wa hofu kila wanapopita kwenye daraja hilo hasa wanapofika katikati hivyo wanaishukuru Serikali kwa kuliona hilo kwani wameweza kutatua changamoto hiyo kabla haijaleta maafa.

"Hili daraja ni bovu sana  ata ukiwa umebebwa kwenye baiskel ukifika katikati daraja linaanza kucheza sasa ukiwa kwenye gari unawaza sijui nitapita salama kwa sababu likidondoka tu sizani kama kuna mtu atakayepona kinachobaki ni kuomba Mungu wakitutengenezea watakuwa wametusaidia sana." alisema Isack.

Hata hivyo daraja hili lililojengwa mwaka 1962 limeanza kuonyesha nyufa baada ya vyuma vilivyokuwa vinalishikilia kukatika jambo hilo limejenga hofu kwa Serikali na watumiaji wa njia hiyo harakati za haraka zinafanyika ili kubadilisha vyuma hivyo .

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.