• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Maafisa Elimu Kata wapata vitendeakazi Mwanza

Posted on: September 10th, 2018


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amekabidhi pikipiki 18 zenye thamani ya takribani Tshs.54,000,000/= zilizotolewa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ajili ya Maafisa Elimu Kata 18 waliomo ndani ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Akitoa hotuba wakati  wa kukabidhi pikipiki  hizo kwa niaba ya mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Kiomoni K. Kibamba,   Kaimu Mkurugenzi   Philipo Kajura  Mukama amesema, ili  kuimarisha usimamizi na matumizi sahihi  ya pikipiki hizi Maafisa  Elimu Kata wanapaswa kuzingatia taratibu walizopewa.

"Mtumiaji wa pikipiki awe na leseni inayomruhusu kutumia chombo  cha moto,itumike ndani ya Kata husika tu na itumiwe na Afisa Elimu Kata na si mtu mwingine,itumike muda na siku za kazi pia zisitumike kubeba mizigo  na abiria,"alisema Mukama.

Naye Mstahiki Meya wa Jiji la  Mwanza Mhe. James Bwire amesisiza kwa wadau wote wa Jijini hapa kuhakikisha wanaiunga mkono Serikali katika juhudi za Maendeleo kwani inafanya kazi kubwa kuhakikisha Elimu inakwenda mbele.

"Vifaa hivi vimetolewa kwa madhumuni maalumu ya kuhakikisha Elimu inasonga mbele hivyo pikipiki hizi  zitumike kwa madhumuni hayo na si vinginevyo, itawaghalimu mkitumia kwa matumizi binafsi,"alisema Bwire.

Hata hivyo,Mhe.Mongella amesisitiza kuwa Serikali ya awamu ya tano imejikita kuimarisha Sekta ya Elimu hivyo kila mwalimu ana wajibu wa msingi wa kuiwezesha Sekta hii izidi kusonga mbele kwa kila mwalimu kutimiza wajibu wake.

"Halmashauri zote 8 za Mkoa zimepata pikipiki hizi za Maafisa Elimu Kata,walimu Mwanza mnafanya kazi nzuri,changamoto zipo kikubwa tuendelee kuahirikiana na Serikali na mifumo yake yote ili kutatua changamoto hizi,"alisema Mongella.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.