• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Maafisa Wakuu kutoka Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu Duluti watembelea Mwanza

Posted on: October 12th, 2020

Usalama wa mipaka ,kulinda mali za raia na kufuata sheria ndiyo msingi wa kuleta maendeleo katika ukanda wa Ziwa.

Hayo yamebainishwa na  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella alipokuwa wakiwaeleza Maafisa  Wakuu kutoka Chuo Cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo eneo la Duluti, Wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha historia ya Mkoa wa Mwanza na shughuli mbalimbali za maendeleo zinazofanyika na kulifanya jiji hilo kukua kwa kasi na kuchangia asilimia 32.4 la pato la taifa.

Alisema wanafursa mbalimbali za kiuchumi huku wao wakiwa wamewekeza katika sekta ya Uvuvi, kilimo, biashara na viwanda pia usafirishaji wa samaki kwenda ulaya ni fursa kubwa inayochochea kukuza uchumi wa wakazi na taifa.

Brigadia Jenerali Sylvester Ghuliku Mkuu wa chuo cha Ukamanda na Unadhimu Duluti Arusha anasema wanatoa mafunzo kuanzia cheo cha Meja na kuendelea ili kuwajengea waweza kukabiliana na matatizo mbalimbali ya utendaji pia chuo hicho kinanachukua wanafunzi kutoka ndani na nje ya nchi .

Anasema katika awamu hii wanawanafunzi 65 amboa wamegawanyika katika makundi mawili ,moja likiwa Dar es salaam na lingine Mwanza lengo likiwa baada ya mafunzo ya darasani wanatoka nje kwenye maeneo ya wananchi kwa ajili ya kufanya utafiti na kuona vitu vinavyoendelea katika shughuli za uraiani.

" Timu yetu ilikuwa ya kufanya tafiti ya uongozi na maendeleo tumechagua Jiji la Mwanza baada ya kuona kuna miradi mingi ya kimkakati inayofanywa na serikali hivyo tulitaka kujifunza kuona na kujadili na viongozi watendaji kwenye hiyo miradi baada ya kufanya ziara tumekuja kushuhudia tukio la kuingizwa majini kwa Mv. Ukara ll kwani ni shughuli ya kimaendeleo kwa ajili wananchi wetu , utafiti wetu kuhusu uongozi na maendeleo kwa mkoa huu" anaeleza Ghuliku.

Washiriki 32 ndiyo waliowasili Mkoani hapa kwa Ziara ya mafunzo ambapo chuo hicho kinasimamiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na wanachuo hao wanatoka Tanzania, Burundi, Kenya, Uganda na Zibambwe.

Aidha,Maofisa kwa pamoja wamepata fursa ya  kutembelea Songoro Marine na kujionea majaribio ya Kwanza kuingiza ziwani kivuko Cha MV. UKARA II  Hapa kazi Tu kilichotengenezwa na Kampani ya Songoro Marine kwa gharama ya Shilingi Bilioni 4.2 ikiwa ni Fedha za Serikali.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.