Maandalizi ya kuihifadhi miili ya watanzania 209 ambao wamepoteza maisha kutokana kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere huko Ukerewe yameanza mchana wa leo. Tayari makaburi kadhaa yameshachimbwa huku baadhi ya ndugu wakiwa tayari wameshatambua miili 172 ya ndugu zao.
Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA
S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.