• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mikakati ya kufanikisha nanenane Yasisitizwa Mwanza

Posted on: July 26th, 2019

Kikao cha Maandalizi ya Maonesho ya Kilimo (Nane Nane) Kanda ya Ziwa Magharibi kimefanyika katika Ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa,Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza Christopher Kadio amesisitiza Halmashauri zote za kanda ya ziwa magharibi kushiriki kikamilifu katika Maonyesho ya mwaka huu na kuwataka washiriki wa kikao kutoa mawazo ya kuboresha maonyesho ya mwaka huu.

Aidha amezitaka Halmashauri zinazodaiwa michango ya maandalizi ya shughuli za nanenane kumalizia michango hiyo kwa wakati.

Awali akiwasilisha mada ya mapato na matumizi ya maadhimisho ya nane nane  Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji  Emil Kasagala amesema kiasi cha Shilingi 120,939,400 zimekisiwa kutumika kufanikisha maadhimisho ya mwaka huu kwa kanda ya Ziwa Magharibi.

Akichangia kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Josephat Maganga aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa Geita  amesisitiza mshikamano na ushirikiano miongoni mwa Halmashauri na Mikoa shiriki kama nguzo muhimu ya mafanikio ya maadhimisho haya ya Nane nane 2019.

Akihitimisha kikao hicho Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Christopher Kadio amewashukuru wajumbe wote waliohudhuria na kusema  kuwa mambo mazuri hufanywa na watu wachache ila yakifanikiwa wanakuwa wengi zaidi hana wasiwasi na uchache wa wajumbe na kuonyesha imani kubwa ya mafanikio.

Naye Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Geita ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Geita ameahirisha kikao kwa kuwashukuru washiriki wote kwa usikivu,utulivu na hasa kwa mawazo ya michango na kusema kuwa anaamini mawazo yote yatarejea katika Halmashauri zote na kufanyiwa kazi kama maekezo yalivyotolewa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Pumzika kwa Amani

    March 17, 2021
  • Karibu Tusome Mwanza Kwanza Toleo la Mwezi wa Tatu

    March 16, 2021
  • Vitambulisho vya Machinga kutolewa kwa simu janja

    March 15, 2021
  • Karibu usome habari kutoka Jarida la Mwanza Kwanza Toleo la tatu

    February 05, 2021
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.