• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

New Butiama Hapa kazi tu Yapokelewa kwa shangwe bandari ya Nansio.

Posted on: August 18th, 2020

Mamia ya wakazi wa Ukerewe wajitokeza kuipokea meli mpya ya Mv.Butiama hapa kazi ambayo imefanyiwa marekebisho makubwa baada ya kukaa muda mrefu bila kufanya kazi .

Akizungumza wakati akiitambulisha meli hiyo kwa wananchi wa wilaya ya Ukerewe ,  Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amesema hizo ni juhudi za Magufuli kwani anamkakati mkubwa wa kuikomboa  Ukerewe hivyo amewataka wananchi kuitumia meli hiyo kuzalisha ili kupandisha uchumi wao

"Ahadi hii ni ya Mhe. Rais Dkt. Magufuli alipokuwa anaomba kura mwaka 2015 japo kuwa hakufika huku lakini kila siku na alipokuwa anakuja Mwanza alikumbuka ahadi yake na leo amelipa deni lake hivyo visiwa 38 vitanufaika na usafiri huu "alieleza Mongella.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya hiyo Mhe .Cornel Magembe alisema watu wake wamefarijika baada ya kusikia mali yao imerejea baada ya kupotea kwa muda mrefu na kuongeza kuwa wilaya hiyo  ina boti mwendo kasi ambayo inatumia kubeba wagonjwa kwenda hospital ya Mwanza kwa muda wa nusu saa.

Aliongeza kuwa meli hiyo itafanya kazi siku zote bila kukumbwa na janga lolote na kupunguza muda wa wananchi kusafiri kutoka masaa manne hadi mawili pia katika eneo hilo wanazo meli kubwa mbili za serikali  ambazo zinatoa huduma na kuleta mafanikio katika kisiwa hicho.

" Kuna fedha  imetolewa tena  na Mhe.Rais Dkt. kwa ajili ya kutengeneza abulence boti mbili hivyo kufikia Disemba mwaka huu  zitakuwa zimefika eneo hilo kwa ajili ya kusaidia kubeba wagonjwa"alieleza Magembe.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Pumzika kwa Amani

    March 17, 2021
  • Karibu Tusome Mwanza Kwanza Toleo la Mwezi wa Tatu

    March 16, 2021
  • Vitambulisho vya Machinga kutolewa kwa simu janja

    March 15, 2021
  • Karibu usome habari kutoka Jarida la Mwanza Kwanza Toleo la tatu

    February 05, 2021
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.