• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Tumekuja kujifunza kujionea hali halisiya kiuchumi,kisiasa na kijamii iliyoko Mikoani na Wilayani

Posted on: January 14th, 2019

Chuo cha Ulinzi cha Taifa chafanya ziara ya kujifunza  mkoani Mwanza lengo likiwa kujionea hali halisi ya kiuchumi,kisiasa, kilimo, viwanda Mikoani.

Akizungumza Wakati wa utambulisho Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John V.K Mongela amesema Mkoa wa Mwanza ni Miongoni mwa Miji Mikubwa inayokua kiuchumi kwa kasi Ukanda huu wa Afrika Mashariki wenye wakazi zaidi ya Milioni Tatu.

Mkoa wa Mwanza  ni mlango wa Biashara kwa Majiji makubwa yalipo Afrika Mashariki kama vile Kisumu,Kampala, Kigali. Aidha Mhe Mongela amesema Mkoa wa Mwanza unafursa nyingi za uwekezaji kwenye sekta ya Kilimo Biashara, Uvuvi na Ufugaji.

Akizungumza na waandishi wa Habari Msimamizi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa Luteni Jenerali Peter Paul Massao amesema chuo chao kimefanya ziara hii kwa lengo la kujifunza kwa vitendo na kujionea Uhalisia wa masuala ya Kiuchumi,Kisiasa, Viwanda na Kilimo baada ya kujifunza Chuoni.

" Tumekuja kujifunza ili kujionea hali halisi ilioyoko mikoani na kwenye wilaya zetu kisha tutaandika Taarifa ya tulichokiona pamoja na mapendekezo na kuyafikisha kwa viongozi kwa ajili ya ushauri" alisema  Luteni Jenerali Peter Paul Massao

Ugeni huo utatembelea Kiwanda cha Nyama cha Chobbo, Mitambo ya uzalishaji Umeme Nyakato

                   Luteni Jenerali Paul Massao akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Zawadi yenye nembo ya Chuo cha Ulinzi cha Taifa 

                    

                 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongela akimkabidhi Lt. jenerali Paul Massao zawadi yenye mchoro wa "Bismark Rock" mchoro unaoitambulisha Mwanza

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji katika shule za Msingi na Sekondari Mkoa wa Mwanza 2018 January 10, 2018
  • Ufunguzi wa Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA Kitaifa Mkoa wa Mwanza. June 07, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AGA KHAN Yatoa Vifaa vya Bilioni 1.5 Kuepusha vifo vya mama na mtoto Mwanza

    December 22, 2020
  • Kikao cha bodi ya Barbara chapanga mikakati ya mafanikio Mwanza

    December 21, 2020
  • Mwanza Kwanza Toleo la pili kwa habari mbalimbali Mkoa wa Mwanza

    December 12, 2020
  • Elimu ya maadili yatolewa Mwanza kwa Viongozi

    December 10, 2020
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella akifungua Baraza la biashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mkikutano uliopo katika ofisi ya Mkoa uliojumuisha wajumbe mbalimbali wa Baraza hilo wa Mkoa wa Mwanza.
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.