-
Jul 28
-
Jul 29
-
Jul 28
-
Jul 28
-
Jul 23
-
Jul 19
-
Jul 09
-
Jul 07
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kusimamia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo ili iweze kutoa huduma zilizokusudiwa kwa wananchi. Mhe.
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewaasa Maafisa Tarafa na Watendaji wa Kata kuweka jitihada kwenye kazi zao kwa kuzikubali nafasi zao na kutekeleza majukumu yao kwa bidii ili waweze kuleta ti
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezitaka Halmashauri za Mkoa huo kurejesha fedha za mapato ya ndani kwa wananchi kwa kuwajengea miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali kwenye vijiji. A
soma zaidiKutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya ardhi kuwa makubwa katika maeneo mengi ya majiji nchini, Jiji la Mwanza limejipanga kufanya matumizi bora ya ardhi kwa kujenga madarasa kwa mfumo wa ghorofa
soma zaidiWaziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa Wanawake wamiliki wa Shule na Vyuo binafsi nchini, kuwekeza katika sekta ya elimu kupitia elimu ya amali hasa miundombinu iyak
soma zaidiMkuu wa idara ya miundombinu Mkoa wa Mwanza Mhandisi Chagu Ngh'oma amesema uwepo wa vikao kazi katika eneo la ujenzi wa hospitali ya rufaa yenye hadhi ya Mkoa inayojengwa wilayani Ukerewe vimesaidia k
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza sekta ya elimu mkoani humo kwa kupandisha ufaulu wa wanafunzi katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita 2025 kwa asilimia 99.92 kwa daraja la 1 h
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo julai 07, 2025 amekagua Meli ya Kisasa ya Uokozi na Matibabu iliyojengwa kwa gharama ya Tshs. Bilioni 4.5 chini ya mradi wa Kikanda wa Usafiri na Mawasilian
soma zaidi
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.