Posted on: February 5th, 2026
Serikali kupitia Baraza la Ushindani (FCT) imeendesha semina kwa wadau wa Mkoa wa Mwanza, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ufanisi wa utekelezaji wa sheria za ushindani.
Semina hiyo imef...
Posted on: February 4th, 2026
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesisitiza kuwa maendeleo ya zao la choroko yanahitaji mshikamano na ushirikiano wa karibu kati ya Serikali, wakulima, sekta binafsi na wadau wa maendeleo.
...
Posted on: February 4th, 2026
Serikali imeeleza kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa rasmi mwaka 2025, unaweka mkazo mkubwa katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuifanya Tanzania ku...