Ukaribisho
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza , inayo furaha kukukaribisha katika tovuti hii. Tunatumaini utapata taarifa za kuaminika unazozihitaji kwa ukamilifu kuhusu wigo, upeo wa taasisi, dira, dhamira, malengo, mikakati, shughuli kuu, ahadi na utekelezaji wa shughuli za Serikali. Ujio wa tovuti hii ni tukio la kihistoria katika kufikia dira na matarajio yetu hasa kutangaza shughuli za Serikali lakini pia na huduma zetu kwa umma. Kupitia tovuti hii tunaamini kwamba itakuwa rahisi kwa wananchi kupa soma zaidi
Habari Mpya
soma zaidi-
SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
February 9, 2026aya ya Ukerewe ni miongoni mwa wilaya zilizonufaika na ajira mpya kufuatia ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kampeni za mwaka 2025. ... soma zaidi
-
RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
February 9, 2026u wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda mapema leo Februari 09, 2026 amewasili Wilayani Ukerewe kwa ziara ya kikazi, lengo likiwa ni kukagua miradi ya Maendeleo ya Sekta ya Afya na Elimu pamoja... soma zaidi
-
MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
February 6, 2026u wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa Maafisa Ustawi wa Jamii pamoja na wadau wa makundi ya watu wenye ulemavu kuisaidia Serikali kuwabaini, kuwalinda na kuwatetea watu wenye ... soma zaidi
-
SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
February 5, 2026ikali kupitia Baraza la Ushindani (FCT) imeendesha semina kwa wadau wa Mkoa wa Mwanza, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ufanisi wa utekelezaji wa sheria za ushindani. Semina hi... soma zaidi
-
CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
February 4, 2026u wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesisitiza kuwa maendeleo ya zao la choroko yanahitaji mshikamano na ushirikiano wa karibu kati ya Serikali, wakulima, sekta binafsi na wadau wa maendel... soma zaidi