• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

BODABODA MWANZA WASEMA HAWATAANDAMANA JANUARI 24

Posted on: January 20th, 2024

BODABODA MWANZA WASEMA HAWATAANDAMANA JANUARI 24


*Wasema shughuli yao inawapatia fedha za kuendesha familia na uchumi*


*Wasema hawataki madhara yatokanayo na maandamano*


*Wamshukuru Rais Samia kwa kuboresha barabara kupitia TARURA*


*Waishukuru Serikali kwa kupunguza faini ya adhabu kutoka elfu 30 hadi elfu 10*


Mwenyekiti wa Chama cha waendesha Pikipiki (Bodaboda) Mkoani Mwanza Makoye John amesema Jumuiya hiyo inalaani vikali maandamano yaliyopangwa na vyama vya upinzani kwamba yatafanyika kwenye sehemu mbalimbali nchini Januari 24, 2024.

Ametoa kauli hiyo mapema leo Januari 20, 2024 jijini Mwanza wakati wa mkutano wa umoja wa Jumuiya hiyo na Waandishi wa Habari uliofanyika kwenye viwanja vya Jiwe la Bismark ulio kwenye fukwe za ziwa victoria.

Amesema, shughuli yao inayowajumuisha zaidi ya wanachama 230,000 inawaingizia kipato na kuimarisha uchumi wao na kwamba hawako tayari kuathiri shughuli yao yenye tija kwa kujihusisha na maandamano ambayo yana athari kubwa kwenye amani.

"Mwanza hakuna matukio ya uvunjifu wa amani, sisi kama chama halali kilichosajiliwa na kufuata miongozo ya Wizara ya Mambo ya ndani hatupo tayari kuingia kwenye maandamano kwani tunajua madhara yake." Amesisitiza Mwenyekiti.

Katibu Mkuu wa Chama hicho Joseph Msabila amesema hawatoshirki maandambano kwa maslahi ya wanasiasa wala kwa kushawishiwa na mtu na kwamba wataendelea na shughuli yao halali kwa maslahi ya familia na Taifa zima.

Mhamasishaji Abdalah Mzamiru ametumia wasaa huo kumshukuru Rais Samia kwa kupunguza faini ya makosa ya adhabu kutoka elfu 30 hadi elfu 10 na kutengeneza barabara kupitia TARURA na TANROADS kwani zinawapa usalama vya vyombo vyao na mazingira rafiki ya usafirishaji abiria.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.