• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

BODI YA BONDE ZIWA VICTORIA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA KISEKTA KUMALIZA MAGUGU-MAJI ZIWANI

Posted on: February 3rd, 2025

BODI YA BONDE ZIWA VICTORIA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA KISEKTA  KUMALIZA MAGUGU-MAJI ZIWANI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewaagiza Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Victoria kushirikiana na Wadau wa Kisekta kuandaa na kuja na mpango mkakati wa kumaliza changamoto ya magugu-maji ndani ya ziwa Victoria.

Mhe. Mtanda ametoa agizo hilo alipokutana na Taasisi zinazofanya shughuli za utunzaji wa mazingira, mabadiliko ya tabia nchi na mashirika yanayoshugulika na mazingira ambapo amewataka kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika suala zima la utunzaji wa mazingira mkoani Mwanza.

Aidha, Mhe. Mtanda ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali ambayo yamekuwa yakijulikana kwa shughuli za utunzaji mazingira kuhakikisha wanakuwa na matokeo chanya na siyo kuishia kuwa mashirika ya mfukoni.

“Nina mkeka mrefu sana wa NGO’s na taarifa za fedha wanazopokea kutoka sehemu mbalimbali za kutunza mazingira lakini wengi wenu mmekuwa hamfanyi hivyo”. Amesisitiza Mhe. Mtanda.

Sambamba na hilo, ameyataka mashirika hayo kuwasilisha shughuli wanazokuwa wanafanya kwa maana bila ya kufanya hivyo wataonekana hawafanyi kazi, Kadhalika amewataka uwepo wa tathmini za shughuli zote za mashirika namna walivyoshiriki katika utunzaji wa mazingira.

Kabla ya kufunga kikao chake, Mhe. Mtanda ameahidi kuwaleta Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira pamoja na Wizara ya Maji kuja kukaa na wadau kupanga mipango ya kutunza mazingira katika Mkoa wa Mwanza.

Awali, Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Mwanza Bi. Janeth Shishila amesema kwa Mkoa wa Mwanza kuna mashirika 650 yaliyosajiliwa kufanya kazi zake na kuyataka yanahusika na mazingira kuhakikisha wanafanya kazi zao ipaswavyo kwa kuwa fedha wanazo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.