• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

CCM YAKAGUA MIRADI YA THAMANI YA SHS BILIONI 66 YAKAGULIWA NYAMAGANA

Posted on: May 27th, 2024

CCM YAKAGUA MIRADI YA THAMANI YA SHS BILIONI 66 YAKAGULIWA NYAMAGANA


Miradi 5 yenye thamani ya shs bilioni 66 imekaguliwa leo Mei 27,2024 Wilayani Nyamagana na Kamati ya Siasa ya CCM Mkoani Mwanza na kuridhiwhwa na thamani ya fedha ilivyotumika.

Miongoni mwa miradi iliyowafurahisha wajumbe wa Kamati hiyo ni ule wa chanzo cha maji Butimba ulio kwenye hatua ya maboresho baada ya ujenzi kukamilika uliogharimu shs bilioni 71.

"Kaimu Mkurugenzi wa MWAUWASA kwa niaba ya wajumbe wenzangu nakupa pongezi sana kwa kukamilisha mradi huu mkubwa tena wa kisasa unaokwenda kuwaondolea usumbufu wa ukosefu wa maji wakazi wa Mwanza," Mhe. Michael Lushinge,M/kiti CCM Mkoa.

Mhe. Lushinge amesema maji ni rasilimali muhimu sana katika maisha ya kila siku, amesikia mikakati mizuri inayofuata kuhakikisha huduma hii inawafikia wengi hatua ambayo imefuata ilani ya CCM inavyoelekeza.

"Mhe. Mwenyekiti mradi huu tunatarajia kukabidhiwa rasmi Disemba mwaka huu, na tupo mbioni kuingia mkataba wa ujenzi wa Matenki makubwa 5 yenye ujazo wa lita milioni 10 yatakayojengwa maeneo ya Buhongwa na Fumagila,"Nelly Msuya,K/Mkurugenzi MWAUWASA.

Kamati hiyo ikiwa kwenye  Kituo cha afya Mkolani imeshuhudia upanuzi wa kituo hicho uliogharimu shs milioni 848 ujenzi uliofanywa mwaka 2022 na kukamilika 2023 na sasa kukidhi kuwahudumia wateja wengi zaidi kutoka kata ya Mkolani na Nyegezi

"Kituo hiki cha afya kimegharamiwa na Halmashauri ya Jiji shs mil 300 kutokana na mapato ya ndani na shs milioni 548 zimetoka Serikali kuu,"Dkt.Pima Sebastian.

Miradi mingine iliyokaguliwa na Kamati hiyo ni Soko kuu la mjini kati lenye gharama ya shs bilioni 23,upanuzi wa Ghati bandari ya Mwanza Kaskazini unaogharimu shs bilioni 18.6 pamoja na mradi wa barabara ya Buhongwa hadi Kishiri yenye urefu wa KM 14 inayojengwa na mkandarasi Zong Mein kutoka China kwa shs bilioni 22.7.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.