• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

DC UKEREWE AWATAKA WAJASIRIAMALI KULITUMIA JUKWAA LA NANENANE KUJA NA MAGEUZI CHANYA YA KILIMO

Posted on: August 2nd, 2024

DC UKEREWE AWATAKA WAJASIRIAMALI KULITUMIA JUKWAA LA NANENANE KUJA NA MAGEUZI CHANYA YA KILIMO


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mh.Chtustopher Ngubiagai amefurahishwa na mwamko wa wajasiriamali waliojitokeza kwenye maonesho ya Nanenane Mwanza na kuwataka kuyatumia ili kuzidi kuelimika katika shughuli zao mbalimbali za kiuchumi.

Mkuu huyo wa Wilaya akiambatana leo Agosti 2,2024 na mkuu wa Idara ya Uchumi na Uzalishaji kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Bw.Emil Kasagara amesema amejionea Taasisi mbalimbali zilivyojipanga kuwaelimisha wajasiliamali na wananchi kwa ujumla namna ya kufanya shughuli zao kitaalamu.

"Nimepitia kwenye baadhi ya bustani za mazao mbalimbali nimefurahishwa sana namna ya ustawishaji wa mazao kama mahindi na miti ya mitunda inavyolimwa kitaalamu kuanzia upatikanaji wa mbegu bora",amesema Mkuu huyo wa Wilaya mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea mabanda ya Nanenane.

Mkuu huyo wa Wilaya amebainisha hivi sasa pesa ya uhakika ipo shambani ukiamua kuwa mkuiima wa mazao au mfugaji kwani kila kitu sasa kinafanyika kwa utaalamu wenye tija na siyo kama zamani kufanya shughuli kwa mazoea,"Mhe. Ngubiagai

Amewapongeza waandaaji wa maonesho hayo ambayo ni mikoa mitatu kutoka Kanda ya ziwa magharibi Mwanza,Geita na Kagera kwa kuzidi kuinua shughuli za kiuchumi kwa wananchi kwani ndiyo nia ya Rais Samia ya kuona wananchi wanazidi kusonga mbele katika maendeleo yao.

Naye Bw.Kasagara amebainisha maonesho ya mwaka huu wameyapa hamasa ya kutosha kwa kuanza kuyatangaza kuanzia mwanzoni mwa Julai ili wananchi wapate uelewa wa kutosha na kujitoleza kwa wingi.

"Kwenye maonesho haya kuna kila aina ya huduma zinazotolewa na Taasisi mbalimbali zikiwemo za kifedha kwa wale wafanyabiashara kuanzia wa chini,kati hadi wa juu watapata fursa za kuelimishwa namna ya kuendesha shughuli zao kitaalamu na upatikanaji wa mikopo kwa unafuu,"Kasagara

Maonesho hayo yaliyobeba kauli mbiu isemayo Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo endelevu ya Mifugo,Kilimo na Uvuvi, yatafunguliwa rasmi Agosti 3,2024 na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe Martin Shigella.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.