• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Elimu ya Tahadhari na kinga ya moto Yatolewa Mwanza

Posted on: September 3rd, 2019


Watumishi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Makao Makuu wamepata elimu juu ya  tahadhari ya majanga ya moto iliyotolewa  na Kaimu  Kamanda wa   jeshi la zima moto A.S.F. Aguatino Magere kwa kushirikiana na timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Zimamoto Mkoa wa Mwanza.

Akizungumza wakati wa kutoa mafunzo hayo kamanda Magere amesema  lengo ni kuhakikisha wanatoa elimu hii ili kupunguza ajali za moto maeneo  mbalimbali.

" Kazi yetu ni kuhakikiaha tunatoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto pamoja na ukaguzi na kuishauri serikali kwani tumepewa dhamana kwa niaba ya Kamishna  Jenerali,alisema Kamanda Magere.

Naye Katibu Tawala  Mkoa wa Mwanza Christopher Kadio akielezea juu ya kunufaika na elimu ya kukabiliana na majanga ya  moto amesema  amefurahia sana mafunzo hayo kwani yamewajengea uwezo wa ufahamu wa namna ya kukabiliana na majanga hayo pindi yanapotokea kuomba  mafunzo yawe endelevu.

Aidha Kadio amemwagaiza Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu Baraka  kuweka mpango mkakati kwa ajili ya madereva ili kujiweka sawa katika kukabiliana na majanga ya moto yanayoyoweza kutokea  katika vyombo vya moto wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao.

Akizungumza baada ya kupata mafunzo hayo mmoja wa watumishi wa Ofisi hiyo ambaye ni afisa Manunuzi Josepha Tarimo amesema ni mazuri kwani kabla ya elimu hiyo walikuwa hawajui matumizi sahihi ya vifaa vya uokoaji.

"Kwa sasa tumepata elimu, mafunzo tuliyopata tumeelekezwa vizuri sana namna ya  kujiokoa na kuwaokoa watu wengine wakati  yanapotokea majanga ya moto pia naomba elimu hii iwafikie   makundi mengine,alisema Tarimo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.