• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Hongereni Benki ya CRDB kwa ubunifu unaofanya mzidi kuwa taasisi bora: RAS Balandya

Posted on: January 17th, 2024

Hongereni Benki ya CRDB kwa ubunifu unaofanya mzidi kuwa taasisi bora: RAS Balandya


Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana ameipongeza  Benki ya CRDB kwa ubunifu wake wa kibiashara unaofanya izidi kuwa taasisi bora na kuaminiwa na wateja wake.

Mtendaji huyo wa Mkoa amesema hayo leo Januari 17, 2024  kwenye tawi la Mwanza la Benki hiyo wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi zawadi za vifaa vya kielektroniki mshindi wa kampeni ya Tisha na Tembocard tukakiwashe Afcon, Marion Albert amebainisha kampeni kama hizo mbali ya kuwanufaisha wateja wake lakini inazidi kujiimarisha pia kichumi.

"Hadi sasa mna wateja milioni 4 nchi nzima, hii ni hatua ya kujivunia inayofanya mzidi kuwa taasisi yenye nguvu na hatua hii ni matunda ya jitihada zenu mbalimbali kama hizi tunazo shuhudia leo," Balandya

Meneja wa CRDB kanda ya ziwa,Lusingi Sita amesema kampeni hiyo imewapata pia washindi 8 waliopata tiketi ya kwenda kushuhudia kombe la Mataifa ya Afrika Afcon huku wanne wakiwa tayari wametangulia mechi za makundi na wengine watakwenda hatua ya robo fainali,"Meneja kanda ya Ziwa.

"Mshindi huyo aliyejinyakulia zawadi hizi zenye gharama ya Shs milioni 9 ameibuka kutokana na kufanya miamala mingi ndani ya Benki yetu na bado shindano hili linaendelea,"Lusingi Sita

"Naishukuru CRDB leo kujipatia zawadi hizi,Jokofu la kisasa,Luninga inchi 75 na radio ambazo zimenisogeza mbele kimaisha,nitaendelea kuwa mteja bora wa Benki hii,"Marion Albert mshindi kutoka Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.