• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

JAJI ASINA AWATAKA MAAFISA UANDIKISHAJI-KATA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA

Posted on: August 14th, 2024

JAJI ASINA AWATAKA MAAFISA UANDIKISHAJI-KATA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA


Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Jaji Asina Omari amewataka Maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya Kata kwenda kufanya kazi kwa weledi na kujituma ili kufanikisha zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Jaji Mhe.Asina ametoa wito huo leo Agosti 14,2024 wakati alipokuwa akizungumza kwa nyakati mbili tofauti kwenye mafunzo kwa Watendaji hao yanayofanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bwiru (Kwa ngazi ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela) na katika Ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza (Kwa ngazi ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza).

"Mmeteuliwa na kuaminiwa kwa ajili ya kufanya kazi hii, hivyo mkafanye kazi kwa weledi na kwa nguvu na uzalendo ili zoezi hili likamilike kwa mafanikio kama lilivyopangwa" alisema Jaji Mhe.Asina.

Kabla ya Kuanza kwa mafunzo, Maafisa hao waandikishahi wasaidizi ngazi ya Kata waliapa kiapo cha kutunza siri na kile cha kujitoa katika chama cha Siasa mbele ya Hakimu mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilemela Mhe.Juma Ondupo.

Haya yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga Kura kwa Mkoa wa Mwanza na Shinyanga ambapo unatarajia kuanza tarehe 21 Agosti, 2024 hadi tarehe 27 Agosti, 2024, huku uboreshaji huu ukibebwa na Kauli mbiu ya "Kujiandikisha kuwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora".

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.