• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Jamii Yaaswa kuacha ukatili dhidi ya wenye Ualubino

Posted on: June 24th, 2019

Jamii imetakiwa kutonyamazia na kuficha watu wanaofanya ukatili kwa watu wenye ualibino ukiwemo ukatwaji  viungo.

Akiongea mara baada ya kuzindua kambi (summer camp) kwa ajili ya wanafunzi wenye ualbino kujifunza vitu mbalimbali, michezo na kujuana, Muasisi na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Under The Same Sun(Utss) Peter Ash alisema takwimu ambazo wanazo za mauaji na mashambulizi kwa watu wenye ualibino ni chache kulinganisha na uhalisia wa matukio yanayotokea kwenye jamii.

Alisema kwa data walizokusanya mwaka 2008 kulikuwa na mauaji na shambulizi 40, mwaka 2018 mashambulizi nane na mwaka 2019 mwanzoni yalitokea mashambulizi mawili.

 "Mara nyingi matukio hayo hayatolewi taarifa kwa sababu watu wa familia hizo uhusika, japo yamepungua hatuwezi kufurahia hadi idadi itakapofika sifuri"alisema Ash


Akizungumzia uamuzi wa kuweka kambi ya wanafunzi kwenye chuo cha ualimu Butimba, Mchungaji kutoka Canada, Pastor Brad Samour alisema lengo la kambi hiyo ni kuwapatia fursa wanafunzi ya kujua vipaji vyao.


"Tunawapatia nafasi ya kufanya sanaa, michezo, kujifunza kwa vitenda na wengi wana vipaji" alisema


Wanafunzi walioudhuria kambini Semeni Eliakimu na Benedictor Felcian waliitaka jamii kuachana na imani kuwa watu wenye ualbino hawawezi kifanya vitu vya msingi kwani wanao uwezi kama wengine.


"Jamii yetu tunakuwa ni watu tunaodharaulika sana, kuwa hatuwezi kitu chochote lakini nakanusha. Sisi ni watu kama watu wengine na tunaweza kutimiza malengo na ndoto zetu",alisema Eliakimu

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.