• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

JAPAN YAJIVUNIA MAHUSIANO MAZURI YA KIDIPLOMASIA NA TANZANIA

Posted on: October 30th, 2024

JAPAN YAJIVUNIA MAHUSIANO MAZURI YA KIDIPLOMASIA NA TANZANIA


Balozi wa Japan Nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa amesema Serikali ya nchi yake imekuwa ikijivunia mahusiano thabiti na imara ya kidiplomasia kati ya nchi hiyo na Tanzania hali iliyopelekea kusaidia kuboresha sekta za miundombinu, afya, kilimo na Uvuvi kwa wananchi wa Tanzania.

Ametoa kauli hiyo leo Oktoba 30, 2024 wakati wa kikao kifupi cha utambulisho na ukaribisho kilichofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kufuatia kuwasili kwake Mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku 2.

Balozi huyo amesema, Japan  wanajisikia fahari kuwa sehemu ya uimarishaji wa mifumo ya utoaji huduma bora kwa wananchi wa Tanzania na kuahidi kuhakikisha anasimamia muendelezo wa uhusiano huo mwema wa kidiplomasia ambao umedumu kwa miaka mingi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amesema Mwanza ni mashahidi wa manufaa ya mahusiano ya nchi hizo mbili kupitia miradi mikubwa inayotekelezwa kwa ushirikiano kama vile masoko ya samaki na miundombinu ya afya.

Mhe. Ludigija ameishukuru serikali ya Japan kwa kuendelea kuwa sehemu ya ukuaji wa uchumi wa mkoa huo na kwamba umekua ukichangia kwa zaidi ya asilimia saba kwenye pato la taifa kwa sasa na kuna viashiria vya kuongezeka.

Mhe. Balozi Misawa ametembelea Soko la Samaki la Kirumba pamoja na mwalo wa Mswahili na kesho atatembelea hospitali ya Sumve ambapo atakabidhi jengo la Mama na Mtoto lililojengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Japan.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.