• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Jumuiya ya Maridhiano Yatoa Tamko Mwanza

Posted on: October 20th, 2020

"Amani ni tunu muhimu ni lazima ilindwe kwa namna yoyote bila amani hakuna mafanikio."

Hayo Yamesemwa na Jumuiya ya Maridhiano Mkoa wa Mwanza katika tamko lao lililotolewa  ukumbi wa Mwanza Hotel-kipepeo hii leo.

Akizungumza kwa niaba Jumuiya ya maridhiano Tanzania Mkoa wa Mwanza  katibu Msaidizi Zuhura Mohamed  alisema amani ni tunu muhimu ambayo inapaswa kulindwa kwa namna yeyote .

Alisema  bila amani hakuna mafanikio ,pia aliwakumbusha watanzania kumchagua kiongozi atakaye thamini amani na kuilinda kwa maslahi ya nchi.

Naye Mratibu wa Jumuiya hiyo Askofu Richard Kamara alisema  sote tunawajibika kutunza amani ambayo ina misingi mitatu ambayo ni haki ,upendo na utu ambavyo vinashikamana kujenga misingi ya nchi .

Alisema wagombea wote kwa nafasi yeyote waheshimu misingi ya nchi ili kuleta maendeleo pia watambue sio wagombea wote wanaweza kuwa viongozi jukumu la kila Mtanzania ni kumchagua kiongozi mwenye tija.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Alhaji Sheikh Mussa Kalwanyi  alisema wanashirikiana na vyombo vya usalama na serikali kutatua migogoro ili kunusuru viashiria vya uvujifu vya amani,unyanyasaji katika Jamii .

" Kwa nafasi yetu kama wadau wa amani tuna haja ya kujitokeza pindi viashiria hovu vitakapoonekana ,tumepata fununu na kusikia kuna viashiria vya uvunjifu wa amani kama Mara,Mbeya tukiviacha hivi vikienea katika nchi yetu itakuwa siyo Jambo jema ndio maana tunaanza kulikemea" alieleza Sheikh Kalwanyi.

Naye Rehema Rajabu alisema viongozi wakubaliane na matokeo na wasisababishe vurugu kwani watakaoathiriwa ni wanawake,watoto,wazee hivyo Jambo la muhimu ni kufanya kampeni ya amani kama ilivyo nchi yetu huku wakitambua baada ya uchaguzi maisha yanaendelea.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.