• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

KATAMBI AWASIHI MAAFISA USTAWI WA JAMII KUSAIDIA WENYE ULEMAVU

Posted on: January 23rd, 2025

KATAMBI AWASIHI MAAFISA USTAWI WA JAMII KUSAIDIA WENYE ULEMAVU


Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana, Ajira na wenye ulemavu Mhe. Patrobas Katambi (Mb) amewataka Maafisa Ustawi wa jamii na maafisa TEHAMA kutumia mafunzo waliyopatiwa katika kuwasaidia watu wenye ulemavu nchini.

Amesema hayo leo Januari 23, 2025 mkoani Mwanza katika ukumbi wa Monarch Hotel wakati akizindua mafunzo ya mfumo wa kieletroniki wa taarifa na kanzidata ya watu wenye ulemavu kwa maafisa Ustawi wa jamii na maafisa TEHAMA wa mikoa na halmashauri.

“Ndugu zangu mafunzo mnayopatiwa leo yanaenda kusaidai wananchi na Serikali na kwa kufanya hivyo mnaenda kuisaidia jamii, wewe kama mtaalamu ukiwasaidia watu kutoka kwenye ulemavu wa asilimia 100 au 70 na akawa sawa hata kwa asilimia 15 wewe una mchango mkubwa hivyo hii kazi tufanye kwa moyo wa dhati tuweze kuhudumia watu wenye ulemavu” Amesema katambi.

Aidha, naibu Waziri amewaomba maafisa Ustawi wa jamii na maafisa TEHAMA wa mikoa na Halmashauri kutowatenga wala kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu na kuwahudumia kwa moyo na upendo kwa maana ulemavu hutokea pasipo kuomba wala kutegemea.

“Idadi ya watu wenye ulemavu kwa Mkoa wa Mwanza ni 10,896 kati ya hao wenye ulemavu wa viungo ni 5362 wenye ulemavu wa macho 1416 viziwi ni 1862 wenye matatizo ya afya ya akili ni 2004 na mwenye ualibino ni 609”, Amesema Mwaijega kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza.

Halikadhalika, Mwaijega ameeleza jinsi utekelezaji unavyofanyika kwa kuwawezesha watu wenye ulemavu na uhitaji katika Mkoa wa Mwanza kwa  ujenzi wa madarasa na ugawaji wa vifaa muhimu kwa wahitaji.

“Zaidi ya losheni 13,611 zimegawiwa kwa albino kwa mwaka 2022 hadi 2024, ujenzi wa madarasa mawili kwa kushirikana na mdau Desk and Chair Foundation ili kuwawezesha wanafunzi kujifunzia zaidi, viti mwendo 52 kwa watu wenye ulemavu na fimbo yeupe 70 kwa wasioona”. Ameongeza Mwaijega.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.