• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Kilimo cha kisasa chawakwamua wafanyabiashara Mwanza

Posted on: March 21st, 2020

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa! Huu ni usemi uliozoeleka nchini kuelezea umuhimu wa sekta ya kilimo kwa maendeleo ya Taifa.

Mkuu wa Seksheni ya Uchumi na uzalishaji, Emily Kasagara anasema mkoa wa Mwanza umeendelea kutekeleza maelekezo ya ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa lengo la kufanya kilimo nchini kuwa cha kisasa, chenye tija na cha kibiashara.

Mafanikio tayari yameanza kuonekana katika na uzalishaji wa zao la pamba ambako Kasagara anasema umeongezeka kutoka tani 17,413.5 msimu wa kilimo wa 2017/2018 hadi tani 49,573.34 msimu wa 2018/19, ikiwa ni ongezeko la tani 32,573.34 sawa na asilimia 187.

Kwa upande wa usambazaji wa mbegu, anasema mahitaji ya mbegu za pamba kwa msimu 2018/19 yalikuwa ni tani 2,691.5, tani 2,585.52 za mbegu sawa na asilimia 96 zimesambazwa kwa wakulima, ambapo mbegu za manyoya za pamba ni tani 2,309 zilisambazwa kati ya lengo la tani 2,373.6 na jumla ya tani 276.5 za mbegu za kipara zilisambazwa kwa wakulima.

Hata hivyo anasema kutokana na mwenendo mbaya wa hali ya hewa, msimu wa 2018/19 uzalishaji wa chakula hasa aina ya wanga hautawezesha mkoa kujitosheleza kwa mahitaji ya aina hiyo kwa asilimia 100 na hivyo upungufu wa mahitaji ya chakula aina ya wanga unatarajiwa katika kipindi cha msimu wa 2019/20.

“Kwa sasa uzalishaji unaweza kutofikia matarajio ya mavuno ya tani 724,042.78 za mazao ya wanga,” anasema.

 Kwa upande wa huduma za ugani, anasema hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu jumla ya wakulima 100,114 walikuwa wamepatiwa mafunzo ya kanuni bora za kilimo, ambapo Manispaa ya Ilemela ilitoa mafunzo kwa wakulima 428, Kwimba-45,200, Magu-23,005, Sengerema-4,826, Buchosa-21,752, Ukerewe-1,348, Misungwi-2,826, Jiji la Mwanza-663.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa! Huu ni usemi uliozoeleka nchini kuelezea umuhimu wa sekta ya kilimo kwa maendeleo ya Taifa.

Mkuu wa Seksheni ya Uchumi na uzalishaji, Emily Kasagara anasema mkoa wa Mwanza umeendelea kutekeleza maelekezo ya ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa lengo la kufanya kilimo nchini kuwa cha kisasa, chenye tija na cha kibiashara.

Mafanikio tayari yameanza kuonekana katika na uzalishaji wa zao la pamba ambako Kasagara anasema umeongezeka kutoka tani 17,413.5 msimu wa kilimo wa 2017/2018 hadi tani 49,573.34 msimu wa 2018/19, ikiwa ni ongezeko la tani 32,573.34 sawa na asilimia 187.

Kwa upande wa usambazaji wa mbegu, anasema mahitaji ya mbegu za pamba kwa msimu 2018/19 yalikuwa ni tani 2,691.5, tani 2,585.52 za mbegu sawa na asilimia 96 zimesambazwa kwa wakulima, ambapo mbegu za manyoya za pamba ni tani 2,309 zilisambazwa kati ya lengo la tani 2,373.6 na jumla ya tani 276.5 za mbegu za kipara zilisambazwa kwa wakulima.

Hata hivyo anasema kutokana na mwenendo mbaya wa hali ya hewa, msimu wa 2018/19 uzalishaji wa chakula hasa aina ya wanga hautawezesha mkoa kujitosheleza kwa mahitaji ya aina hiyo kwa asilimia 100 na hivyo upungufu wa mahitaji ya chakula aina ya wanga unatarajiwa katika kipindi cha msimu wa 2019/20.

“Kwa sasa uzalishaji unaweza kutofikia matarajio ya mavuno ya tani 724,042.78 za mazao ya wanga,” anasema.

 Kwa upande wa huduma za ugani, anasema hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu jumla ya wakulima 100,114 walikuwa wamepatiwa mafunzo ya kanuni bora za kilimo, ambapo Manispaa ya Ilemela ilitoa mafunzo kwa wakulima 428, Kwimba-45,200, Magu-23,005, Sengerema-4,826, Buchosa-21,752, Ukerewe-1,348, Misungwi-2,826, Jiji la Mwanza-663.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. July 29, 2022
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2022 July 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI ICAP October 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Malima awataka Madiwani kusimamia na kuendeleza vyema rasilimali za Bonde la Ziwa Victoria

    March 31, 2023
  • RC Malima awahimiza Wana Mwanza kufurika Dimbani Nyamagana Jumamosi hii kuwashangilia wana TP LINDANDA Pamba FC dhidi ya Kitayose

    March 30, 2023
  • Makinda awataka wasomi na wananchi kuyatumia matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi kujiinua kiuchumi

    March 29, 2023
  • RC Malima ahimiza kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia

    March 27, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.