• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AMEZIAGIZA SHULE KUTENGA MAENEO YA UPANDAJI MITI

Posted on: October 7th, 2024

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AMEZIAGIZA SHULE KUTENGA MAENEO YA UPANDAJI MITI


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Godfrey Eliakim Mnzava amezitaka shule za msingi na sekondari Mkoani Mwanza kutenga maeneo kwa ajili ya kupanda miti kwa ajili ya kuhifandi mazingira na kulinda uoto wa asili ili kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.

Ndugu Mnzava ametoa wito huo leo t Oktoba 07, 2024 wakati akikagua mradi wa upandaji miti katika Shule ya Sekondari Ibondo ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wamewezesha upandwaji wa miti 1862 yenye thamani ya Tshs. 533, 260.

Sambamba na hilo Ndugu Mnzava ameshiriki upandaji wa miti 500 na ametumia wasaa huo kuwapongeza na akatoa rai kwa shule zingine mkoani huko kuiga mfano huo mzuri kwani Dunia inapitia changamoto ya hewa ya ukaa hivyo ni lazima watoto wajue umuhimu wa kuhifadhi mazingira.

Aidha, amewapongeza shule kwa kutekeleza kwa vitendo agizo lililotolewa na waziri wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano la kusoma na mti ambapo inawajenga watoto kusoma wakihifadhi miti kwani kila mwanafunzi anapanda mti na kuutunza wakati wote hadi unakua.

Vilevile, amekagua mradi wa uoteshaji miche ya miti unaotekelezwa na kikundi cha vijana 'wazalendo forest' na ameiagiza halmashauri kuwasimamia na kuwaendeleza ikiwa ni pamoja na kuhakikisha shule zinanunua miche kwa ajili ya kupanda kwenye vitalu vyao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.