• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Korea kusini yafanya majaribio ya upimaji wa ardhi kwa ndege ndogo.

Posted on: November 10th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amepokea ugeni kutoka Korea ya Kusini (HOJUNG SOLUTION CO. LTD) uliofika Mkoani Mwanza,wilaya ya Ilemela kwa ajili ya majaribio na mafunzo ya upimaji wa ardhi kwa kutumia ndege ndogo(Drone) yenye uwezo wa kupima kilomita za mraba 6 kwa dakika 90 yatakayodumu kwa mwaka mmoja na kujumuisha wataalam wa ardhi Mkoa wa Mwanza.


Akipokea wataalam kutoka kampuni hiyo,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amesema ameridhishwa na kampuni mpango wa majaribio wa kampuni hiyo ambayo inatumia tekinolojia ya kidigitali kupima eneo kubwa kwa muda mfupi na kwa gharama nafuu na hii itapunguza usumbufu ambao umekuwa ukijitokeza wakati wa upimaji ikiwa ni pamoja na malalamiko ya wananchi.


“Nimeridhishwa na jaribio hili la mazoezi ya upimaji kwa kutumia ndege ambao utarahisisha ukusanyaji wa taarifa,picha,kuweka alama kwenye maeneo,ukusanyaji wa takwimu na kupunguza migogoro ya ardhi na kurahisisha upimaji na uandaaji wa ramani za Mipango Miji”.


Ilemela ina mahusiano mazuri na Korea ya Kusini.Uwepo wa mradi huo utasaidia ukusanyaji wa taarifa za ardhi,upimaji na upigaji wa picha ambapo baada ya majaribio hayo itapeleka taarifa serikalini ili kuelezea mafanikio na changamoto yaliyotokana na majaribio hayo kwa ajili ya maamuzi ikiwa itaridhia kufunga mkataba na Kampuni hiyo kwa ajili ya kufanya upimaji wa maeneo mengine.


Majaribio hayo yataanzia katika Manispaa ya Ilemela kwa maeneo ya Nyamadoke na Kahama na baadaye kuendelea wilaya ya Nyamagana lengo ikiwa ni upimaji  wa eneo lote la Mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. July 29, 2022
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2022 July 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI ICAP October 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Malima awataka Madiwani kusimamia na kuendeleza vyema rasilimali za Bonde la Ziwa Victoria

    March 31, 2023
  • RC Malima awahimiza Wana Mwanza kufurika Dimbani Nyamagana Jumamosi hii kuwashangilia wana TP LINDANDA Pamba FC dhidi ya Kitayose

    March 30, 2023
  • Makinda awataka wasomi na wananchi kuyatumia matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi kujiinua kiuchumi

    March 29, 2023
  • RC Malima ahimiza kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia

    March 27, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.