Leo tarehe 01 Septemba, 2025 Mwenge wa Uhuru umekabidhiwa Mkoani Geita katika Kata ya Lwezera baada ya kuhitimisha mbio zake Mkoani Mwanza ambapo umetembelea, kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua jumla ya miradi 56 yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 100 katika halmashauri 8.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.