• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAAFISA ELIMU KATA WATAKIWA KUTUMIA TEHAMA KULETA TIJA KITEKNOLOJIA

Posted on: February 24th, 2024

MAAFISA ELIMU KATA WATAKIWA KUTUMIA TEHAMA KULETA TIJA KITEKNOLOJIA


Maafisa Elimu Kata, Waalimu wa shule za Awali, Msingi na Wakuu wa Shule za Sekondari wametakiwa kutumia elimu ya TEHAMA ili kuleta tija katika kipindi hiki cha maendeleo ya Sayansi na Teknolojia.

Rai hiyo imetolewa leo tarehe 24 Februari, 2024 na Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya awali na msingi kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Mwalimu Suzan Nyalubamba wakati wa ufungaji wa mafunzo kwa watumishi wa Kanda ya Ziwa yaliyofanyika jijini Mwanza.

Nyalubamba amewataka kuhakikisha vifaa vya TEHAMA vinatunzwa ipasavyo na vinatumiwa kwa malengo yaliyo kusudiwa kwani lengo kuu ni kuongeza ubunifu kwa wanafunzi na waalimu ili kuendana na kasi ya Dunia ya sasa.

Ameongeza kuwa kupitia miradi miwili inayofadhiliwa na mkopo wa Benki ya Dunia yaani Sequip kwa Shule za Sekondari na BOOST Shule za Msingi imesaidia kuongeza miundombinu ya  shule ikiwemo madarasa na matundu ya vyoo.

Amebainisha kuwa kwa mwaka wa fedha unaoendelea Serikali inajenga shule 212 za Sekondari na Shule 6 za Kitaifa za Wasichana mpya kabisa na kupitia BOOST

wamenga shule 320 ili kupunguza msongamano wa wanafunzi na kutembea umbali mrefu kufika shuleni.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo, Mwalimu Esther Simba ambaye ni Afisa elimu kata ya Sola amesema kupitia elimu waliyoipata wanakwenda kuongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi na ufanisi makazini kwa kuwajengea uwezo waalimu wengine.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.