• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Maafisa Tarafa Mwanza wakumbushwa kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria na kanuni

Posted on: May 13th, 2023


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana amewakumbusha  Maafisa Tarafa Kutekeleza  majukumu yao kwa mujibu wa sheria pia kutambua Fursa zinazopatikana katika maeneo ya kazi zao.

Ndg. Balandya amesema hayo   wakati  akifungua mafunzo ya uongozi kwa Maafisa Tarafa ambayo  yanaongozwa na Maafisa Tarafa wawili waliochaguliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Desemba 16, 2022 kwenda kushiriki Mafunzo hayo jijini Dodoma.

"Ni muhimu sana  tukawatumikie wananchi kwa kutoa huduma bora kama ilivyo ainishwa katika waraka Na.1 wa Mwaka 2017 wa maendeleo ya utumishi   na kuona fursa zinazopatikana katika maeneo yetu kwakuwa sisi Maafisa Tarafa ndio wasimamizi wa mambo yote ya Serikali haswa katika ngazi ya chini ya uongozi,"

" Matarajio yangu ni kwamba mafunzo haya yatawasaidia sana katika kuwajenga kimaadili  kiuzalendo na kuwaandaa kuwa tayari kutoa huduma kwa wananchi tunaowatumikia na kuleta matokeo chanya kwa Serikali ya Mkoa," Amesema Mtendaji huyo wa Mkoa

Naye  Katibu Tawala Msaidizi  Utawala na Rasilimali Watu Daniel Machunda amesema  mafunzo yatakayotolewa kwa Maafisa   hao yanalenga kuwakumbusha wajibu wao katika kazi.


"Mafunzo haya yanayotolewa kwenu yanahusisha mada muhimu ikiwa ni pamoja na masuala ambayo nyinyi kama watumishi wa umma mnapaswa kufanya au hapaswi kufanya kwa mujibu wa sheria na kanuni,"

"Napenda kutumia fursa hii kuwaambia Maafisa Tarafa wote kwa pamoja tunaouwezo wa kufanya maajabu na kufanya Mkoa wetu wa Mwanza ambao ni wa kimkakati kuwa  kinara na Mikoa mingine ikaiga kutoka kwetu  kutokana na utendaji wetu," Amesema. Machunda.

Mafunzo hayo yanalenga kuwawezesha Maafisa Tarafa kufahamu dira, dhima  na malengo Ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa pia kufahamu haki, wajibu na majukumu  yao  kama watumishi wa Umma.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.