• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mabalozi kutoka EU watembelea Miradi Mwanza

Posted on: January 24th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amepokea ugeni wa  Waheshimiwa

Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya waliowasili Mkoani humo kwa ajili ya  kutembelea miradi ya Maendeleo

inayofadhiliwa na EU iliyopo Mkoani humo.

Mara baada ya kuwapokea Mhe.Malima ameongoza Kikao kifupi( “Courtesy Call”) na kuwahakikishia Wahe.Mabalozi  kuwa Mwanza ni salama na kuna fursa nyingi za uwekezaji na hivyo wasisite kutumia muda wao kwa ajili ya kujifunza na kuifurahia Mwanza.

Akiwatambulisha  Wahe. Mabalozi Mhe.Malima amesema Wahe. Mabalozi  wanatoka Umoja wa Ulaya, Ubelgiji,Finland , Ufaransa , Ujerumani , Ireland, Italia , Spain, Poland na  Netherland.

Aidha, Mhe.Malima ameongeza kuwa wakiwa hapa Mwanza Wahe.Mabalozi watafanya Ziara ya  kutembelea  kwa kila Wilaya tarehe 24 hadi 26 Januari, 2023 wakianzia

Nyamagana ambapo wataanza na Miradi ya MWAUWASA (Mradi wa ujenzi wa chanzo cha maji Butimba na Mradi rahisi wa utunzaji wa majitaka, uliopo Kirumba, Ilemela), na Maboresho ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando,pamoja na Mradi wa ufugaji samaki kwenye vizimba ndani ya Ziwa Viktoria (Mpanju Fish Farm, iliyopo Nyegezi.

Wahe.Mabalozi watatembelea Mradi wa kuboresha michezo hususani viwanja vya michezo wa Sports

Charity, uliopo Sabasaba Ilemela. Pia kwa Wilaya yaSengerema watatembeleaMgodi Mkubwa wa dhahabu wa Nyazaga, Uliopo Kata ya Ngoma, Wilayani humo.

Kwa upande wa Misungwi, Mradi utakaotembelewa niwa wachimbaji wadogo wa dhahabu wa Kikundi cha Mlimani Mining, kilichopo Shilalo Wilayani humo.

Mhe. Mkuu wa Mkoa ameshukuru Umoja wa Ulaya maarufu kama EU na wadau wake wa Maendeleo kwa mchango Mkubwa wanaoutoa wa kufadhili wa miradi ya Maendeleo ya Mkoa wa Mwanza na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. July 29, 2022
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2022 July 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI ICAP October 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Malima ataka adhabu kali na marekebisho ya Sheria za barabarani dhidi ya wanaosababisha ajali kwa uzembe

    March 17, 2023
  • Tupo katika mchakato wa Katiba mpya-Mhe.Dkt.Ndumbaro

    March 17, 2023
  • Miaka miwili ya Rais Samia madarakani,Mwanza yajivunia kasi ya miradi ya maendeleo

    March 15, 2023
  • Mufti wa Tanzania Sheikh Dkt.Abubakar Zuber akemea maovu ndani ya Jamii

    March 15, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.