• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MABORESHO YA KITUO CHA AFYA MKOLANI YAONGEZA HUDUMA KWA WAKAZI 14,000

Posted on: September 18th, 2024

MABORESHO YA KITUO CHA AFYA MKOLANI YAONGEZA HUDUMA KWA WAKAZI 14,000


Maboresho ya kituo cha afya Mkolani yaliyo gharimu shs milioni 848 kimesaidia kuongeza huduma bora kwa wananchi kutoka kata 10  na kufikia idadi ya 14,000 wanaofika kupata matibabu.

Mganga Mkuu wa kituo hicho Leonard Kafula akitoa leo taarifa fupi  kwa Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza Balandya Elikana,amesema awali kabla ya maboresho walikuwa wanatoa huduma kwa wateja wapatao 15 hadi 20 lakini sasa hivi wanawahudumia 70

Amesema maboresho hayo ya miundombinu yaliyoanza kufanyika mwaka 2022-23 kwa mfumo wa force account ,Serikali kuu imetoa shs milioni 248,imetoa pia shs milioni 300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na shs milioni 300 zimetolewa na halmashauri ya Jiji la Mwanza kupitia mapato yake ya ndani.

"Kukamilika kwa mradi huu kumeboresha na kuwezesha kupatikana kwa huduma zote ikiwemo ya upasuaji huku idadi ya akina mama wajawazito ikiongezeka kutoka 15 hadi kufikia 37 kwa mwezi na kupunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa kwenda kupata huduma hiyo hospitali ya Nyamagana.

"Ndugu Katibu Tawala wetu kituo hiki sasa kimekuwa mkombozi kwa wananchi wa Mkolani na maeneo ya jirani lakini hasa wakina mama wajawazito ambao walikuwa wakilazimika kwenda umbali mrefu kupatiwa huduma na wakati mwingine kuhatarisha uhai wao,"Mkuu wa wilaya.

Mara baada ya kukagua kituo hicho Ndugu Balandya amewataka watumishi kuwahudumia wateja wao kwa weledi licha ya kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa watumishi hali ambayo inafanyiwa kazi na Serikali kulingana na bajeti.

Miradi yenye thamani ya zaidi ya shs bilioni 78 wilayani Nyamagana imefanyiwa ukaguzi ikiwemo ya maji,shule na barabara.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.