• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MaDAS na Maafisa Tarafa zingatieni majukumu yenu ili mtoe huduma bora kwa wananchi-RAS

Posted on: July 22nd, 2023

MaDAS na Maafisa Tarafa zingatieni majukumu yenu ila mtoe huduma bora kwa wananchi-RAS


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Ndg.Balandya Elikana amewakumbusha Makatibu Tawala Wilaya na Maafisa Tarafa Mkoani humo kutumia vyema mafunzo wanayopewa ili kwenda kutoa huduma bora kwa wananchi kwenye maeneo yao.

Akifungua kikao kazi kwa watumishi hao kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Balandya amebainisha bado zipo changamoto kwa wananchi zikiwemo ufahamu wa sheria za nchi na haki zao hivyo huduma zao sahihi kutoka kwa watumishi hao ndiyo zitatoa ufumbuzi wa hali hiyo.

"Unakuta mwananchi anapoteza mali zake halali kama shamba au nyumba lakini anashindwa wapi pa kuanzia matokeo yake anaishia kudhulumika endapo mtakwenda kusimamia vyema majukumu yenu naimani matatizo kama hayo yatamalizika," amefafanua Mtendaji huyo wa Mkoa.

Aidha, ametumia jukwaa hilo kuwapongeza Makatibu Tawala wapya walioteuliwa hivi karibuni na Mhe Rais na kuwapa rai kuteuliwa huko waje na matokeo chanya kwenye maeneo yao ya kazi.

Mtoa mada kwenye kikao kazi hicho Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu, Bw. Daniel Machunda amesema mafunzo hayo ni ya kawaida kwa watumishi hao kwa lengo la kuwajengea uwezo na hasa baada ya Mkoa wa Mwanza kuwapata watumishi wapya wa kada hiyo ya Makatibu Tawala.

"Lengo la Serikali siku zote ni kuwaona wananchi wake wanaishi kwa amani, usalama na kutambua haki zao zote za msingi katika maisha yao kila siku, sasa sisi watumishi ndiyo daraja kati ya Serikali kuu na Serikali ngazi ya Tarafa au Wilaya katika kuwatumikia wananchi",Machunda.

"Tunapopatiwa mafunzo kama haya yanatusaidia katika kutimiza majukumu yetu ya kila siku kwa lengo la kuwapa huduma yenye tija wananchi wetu", Gloria Kaywanga,Afisa Tarafa Inonelwa,Misungwi

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.