• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAFUNZO YA SPV YASAIDIE HALMASHAURI KUWA NA MIRADI YENYE TIJA : RAS MWANZA

Posted on: October 29th, 2024

MAFUNZO YA SPV YASAIDIE HALMASHAURI KUWA NA MIRADI YENYE TIJA : RAS MWANZA


Washiriki wa mafunzo ya mwongozo wa uanzishaji na usimamizi wa kampuni mahsusi ya uendeshaji wa miradi ya vitega uchumi kwenye Mamlaka za Serikali za mitaa yaani Special Purpose Vihicle (SPV) wametakiwa kubuni miradi itakayoipatia mapato halmashauri ili kuchochea maendeleo ya wananchi.

Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala mkoa wa Mwanza Balandya Elikana leo Oktoba 29, 2024 wakati akifungua mafunzo kwa makatibu tawala wasaidizi mipango na uratibu na wakuu wa Idara za mipango na fedha kutoka Mamlaka za Serikali za mitaa.

Aidha, ameishukuru TAMISEMI kwa kushirikiana na washirika wa maendeleo  UNCDF kwa kuja na mpango huo ambao unatoa fursa ya kujadiliana kwa pamoja changamoto na mipango ya kufanya lengo likiwa Halmashauri ziwe na miradi yenye tija na kujisimamia zenyewe.

"Ndugu washiriki wa mafunzo ni imani yangu kutakuwa na tofauti mlivyokuja na mtakavyoondoka nikiwa namaanisha mageuzi mtakayokwenda kufanya kwenye maeneo yenu", Balandya

Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya mitaji (UNCDF) Bi. Stella Lyatuu amebainisha kuwa washiriki watafundishwa jinsi ya kuanzisha miradi ya inayoendana na uanzishwaji wa miradi ya kampuni, muundo wa utawala na menejimenti, usajili wa kampuni, vyanzo vya fedha na usimamizi wake.

Washiriki hao wanatoka kwenye mikoa saba ya Mwanza, Kagera, Mara, Shinyanga, Simiyu, Kigoma, na Geita.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.