• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mafunzo ya Umiliki Manufaa yana tija kwa Mkoa wa Mwanza ambao ni kitovu cha Biashara-RAS Mwanza

Posted on: February 6th, 2024

Mafunzo ya Umiliki Manufaa yana tija kwa Mkoa wa Mwanza ambao ni kitovu cha Biashara-RAS Mwanza


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana leo januari 06, 2024 amefungua mafunzo ya Umiliki Manufaa kwa wataalamu wa sheria na kubainisha yamekuja wakati mwafaka kwa Mkoa huo ambao ni kitovu cha biashara na unaokuwa kiuchumi.

Akizungumza kwa niaba yake kwenye ukumbi wa mikutano Hotel ya Victoria Palace, Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu, Daniel Machunda amewapongeza waandaaji wa mafunzo hayo Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni,BRELA kwa kuwa na lengo la kuhakikisha huduma bora zinatolewa na kupatikana kwa urahisi.

Amesema Mkoa wa Mwanza upo kimkakati kutokana na kupakana na nchi za maziwa makuu kufanya kuwepo na fursa kubwa ya kibiashara,hivyo mafunzo hayo yatakuwa na tija kwa wafanyabiashara kwa kufuata miongozo sahihi na mwishowe kukuza uchumi wa Mkoa na Taifa kwa ujumla.

"Serikali inatambua kuwepo kwa changamoto za taarifa za baadhi ya wamiliki ambao wanaweza kutumia Makampuni yao kukwepa Kodi au kupitisha fedha haramu,"amesema Machunda wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo.

Amewataka washiriki wa mafunzo hayo kutumia vizuri nafasi hiyo na kuwa mabalozi kwa wengine na kuwepo na muendelezo mzuri wa utoaji wa huduma bora.

Kwa upande wake Afisa Sheria Mkuu wa BRELA,Menrad Rweyemamu amesema Taasisi hiyo siku zote imesimama imara kuhakikisha miradi kutoka ndani na nje ya nchi inaingia kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.