• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Magonjwa yasiyoambukiza yapewa kipaumbele Mwanza

Posted on: November 14th, 2021

Novemba 14, kila Mwaka Nchini hufanyika Maadhimisho ya Siku ya kupambana na magojwa yasiyoambukiza ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa(Mb) baada ya kuzindua 2019  na kutangaza rasmi kuwa wiki ya pili ya mwezi novemba 14 kila mwaka yatakuwa yakifanyika ambapo Kimkoa yamefanyika Manispaa ya Ilemela Mkoa wa Kwanza.

Akizungumza katika viwanja vya CCM Kirumba ambapo maadhimisho hayo yanafanyika mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Mhandisi Robert Gabriel amesema magojwa hayo yamekuwa tishio kwa taifa letu hivyo Mkoa unaungana na Mikoa mingine kwa kutoa huduma mbalimbali katika vituo vya tiba.

"Katika kipindi kisichozidi miaka 8 kumekuwa na magojwa yasiyoambukiza kama vile pumu, magojwa ya afya ya akili na yanayotokana na ajali," alisema Mhandisi Gabriel.

"Kwa kila watu 100 wenye umri wa miaka 25 na zaidi 9% wanakisukari 26% wana shinikizo la juu la damu,34% wana  uzito uliopindukia na 25% wana mafuta yaliyozidi kwenye damu,hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanyika mwaka 2012(step Survey) alisema

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe.Hassan Masala amewashukuru wananchi na klabu zote zilizoshiriki katika mbio za wote walioshiriki katika maandalizi ya kuhitimisha siku hiyo.

"Tunafanya mazoezi kwa mwezi mara moja ambapo tunaunganisha club zote na kukimbia km 8 ili kukabiliana na magonjwa ambayo tunaadhimisha mapambano yake leo na nitoe wito kila mmoja aliyefika hapa leo aende akapime magonjwa hayo kwenye mabanda yaliyopo hapa," alisema Mhe.Kasala.

Naye Dkt.Silas Wambura kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi ambao afya zao ni imara wachukulie mazoezi kama sehemu yao ya maisha ili kuepuka na magojwa hayo na wasisahau upimaji wa kike siku wa Afya zao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.