• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Makandarasi nchini wakumbushwa kufanya kazi za miradi kwa weledi,ubora na kumaliza kwa wakati ili kuzidi kuaminiwa na Serikali

Posted on: March 31st, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Adam Malima amewakumbusha Makandasi nchini kufanya kazi zao kwa weledi,ubora na kumaliza kazi kwa wakati ili kujijengea kuaminiwa na Serikali na kupewa Miradi zaidi.

Akifunga kikao cha mashauriano baina ya Bodi ya Usajili wa Makandarasi CRB na Wadau wa Sekta ya ujenzi leo Jijini Mwanza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa,Katibu Tawala Mkoani humo Bw.Balandya Elikana amesema bado baadhi ya Makandarasi wanafanya ubabaishaji wa miradi wanayopewa na Serikali na kusababisha kuzorotesha kasi ya kuwaletea maendeleo wananchi.

"Yalikuwepo  malalamiko mengi siku za nyuma kutoka kwa Makandarasi wazawa kukosa Zabuni mbalimbali za miradi ya Serikali na hii ilitokana na ukosefu wa weledi lakini sasa hali imekuwa nzuri ila tuongeze juhudi".Amesisitiza mtendaji huyo wa Mkoa.

Amesema ana imani Mkutano huo wa siku mbili wa kujengeana uwezo kwa Makandarasi wa ndani kutoka kanda ya ziwa utakuja na matokeo chanya kwa manufaa ya Taifa letu

Ameongeza kuwa maazimio yote kumi waliyoafikiana kwenye mkutano huo Serikali itayapokea na kuyafanyia kazi kulingana na wakati na uzito wa jambo husika likiwemo suala la kupunguziwa kodi kwa vifaa vinavyoagizwa,CRB iwachukulie hatua kali Makandarasi wanaokwenda kinyume lakini kwa kuzingatia mujibu wa Sheria.

Amewakumbusha pia Mkoa wa Mwanza upo eneo la kitovu cha biashara una miradi mingi ya kimkakati inayoendelea kufanyiwa kazi na mingine itakuja hivyo Makandarasi wana wajibu wa kufanya kazi zao kwa usahihi ili kupata Zabuni hizo.

 Kwa upande wake Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi Rhoben Nkori amebainisha

mkutano huo una jumla ya washiriki 320 wakiweno Makandarasi 224 na wadau wengine wanaoshirikiana nao, wamejadiliana changamoto mbalimbali na mikakati ya kuweka mazingira ya kuzidi kupewa zabuni na Serikali.

"Tuna furahi kufanya kazi na Serikali ya awamu ya Sita ambayo ni sikivu na yenye kuwapigania maendeleo watanzania,ni wajibu wetu kukutana kama hivi na kuona wapi tunakosea,nini kifanyike na kuishauri pia Serikali ili kuwepo na tija katika kusukuma guruduma la maendeleo la Taifa letu.Mhandisi Rhoben Nkori.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.