• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Masanduku ya kuchangia UKIMWI yakabidhiwa Mwanza

Posted on: July 27th, 2020

Wadau mbalimbali mkoani Mwanza wakabidhiwa masanduku 10 kwa ajili ya kuchangia mfuko wa udhamini wa kudhibiti ugonjwa wa UKIMWI Tanzania.

Akizungumza wakati akimkabidhi masanduku hayo Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella kwa ajili ya  kuwakabidhi wadau hao Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania ( TACAIDS),Dkt.Leonard Maboko alisema mfuko huo ulianzishwa rasmi mwaka 2015 na hayati Rais Mstaafu Benjamini Mkapa.

Alisema mfuko huo ni marekebisho ya tume ya kudhibiti ugonjwa huo nchini na ni sheria ya mwaka 2001 ambapo ilifanyiwa marekebisho 2015 na kuingizwa uwepo wa mfuko huo hivyo Jambo hilo ni la kisheria ,pia mfuko huo ulianzishwa kwa sababu fedha za wafadhili zimekuwa zikipungua miaka inavyokwenda kunakuwepo na upungufu wa fedha hizo ,hivyo serikali iliona Jambo la msingi ni kuwa na vyanzo vya ndani.

" Tumeondokewa na mwanzilishi wa TACAIDS lakini uwepo wetu Leo hapa ni kutokana na maono yake hivyo huu mfuko ni kwa ajili ya kuwahudumia watanzania pia asilimia 25 za fedha zinatumika kwa ajili ya kuzuia maambukizi mapya" alieleza   Dkt.Maboko.

Naye Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella alisema anawaanini wadau hao kwani wanathibitisha wanania na dhamira ya dhati katika kupambana na vita hiyo ambapo katika maeneo yao wanasera ya kupambana na ugonjwa huo.

Aliongeza kuwa  mapambano hayo yanahitaji ufadhili na kutokutegemea ufadhili wa nje ama wadau wengine ni hatari kwa mapambano,pia utoaji wa elimu kutasaidia kuleta hali mpya tofauti ya mapambano sambamba na kuunga mkono maono ya Raisi Magufuli ya kuamini kwamba tunaweza kufanya mambo mengine wenyewe.

" Huwezi kuwa unapambana na vita ukategemea msaada tu wa marafiki kwani misaada hiyo inaweza kuja ikiwa imeambatanishwa na ajenda zingine na kusababisha vita yao isifanikiwe sana lakini kwenye hili zoezi mtu akiweka mia,mia mbili,au tano kwetu ina maana sana kwa sababu hatukuamka asubuhi tukiwa nayo hiyo kaja kutuwekea"alisema Mhe.Mongella.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.