• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MENEJA WA PSSF KANDA YA ZIWA AWASILISHA SALAMU ZA MWAKA MPYA OFISI YA RC MWANZA

Posted on: January 13th, 2026

Leo Januari 13, 2025 Meneja wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSF) Kanda ya Ziwa Bw. Rajabu Kinande amewasilisha salamu za Sikukuu za Mwaka Mpya kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Bw. Balandya Elikana.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo iliyofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Meneja wa PSSF alisema lengo la kufika ni kuwatakia viongozi hao heri ya mwaka mpya wa 2026 pamoja na kuendelea kuimarisha mahusiano ya kikazi kati ya PSSF na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya ustawi wa watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameishukuru PSSF kwa salamu hizo na kwa ushirikiano mzuri unaoendelea kati ya taasisi hiyo na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU KUZINDUA MELI YA KISASA MWANZA KESHO

    January 22, 2026
  • RC MTANDA ATOA SOMO KWA WATENDAJI KUCHUKUA HATUA KUREKEBISHA MATATIZO BUCHOSA

    January 20, 2026
  • MUITIKIO MDOGO WA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI, RC MTANDA ATOA MAAGIZO

    January 20, 2026
  • DC MISUNGWI AAGIZWA KUMSIMAMIA MKANDARASI AKAMILISHE UJENZI WA SHULE YA AMAALI

    January 19, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.