• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mhe. Mongella aagiza eneo lenye mgogoro lisubiri maamuzi Desemba 15 mwaka huu

Posted on: November 15th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amefika eneo la mtaa wa Mwinuko Manispaa ya Ilemela lenye mgogoro kati ya mzee Nyamonge Magabe na Bismak ambaye ajulikanaye kama AL-RAHBY na kuagiza kusitisha kwa shughuli zote za uendelezaji wa eneo hilo na matumizi ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na ukataji wa kuni hadi tarehe 15/12 mwaka huu yatakapotolewa maamuzi kuhusiana na eneo hilo.

Mkuu wa Mkoa amefika eneo hilo akiwa na wataalam wa Ardhi wa Mkoa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo ambapo mzee Magabe amekuwa akilalamika kutishiwa na kutaka kunyang'anywa eneo kwa njia za kitapeli na udanganyifu kwa kuonyesha kuwa hakuwahi kuwepo hapo wakati yeye akidai kumiliki eneo hilo tangu mwaka 1987 likiwa bado pori, ameongeza kuwa amefungua kesi kadhaa dhidi ya watu mbalimbali waliokuwa na nia ya kumpora eneo hilo.

Awali tarehe 03/11/2017 Mhe. Mkuu wa Mkoa aliwaita watumishi wote wa Idara ya Mipango Miji na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya upimaji wa eneo la Mzee Magabe lililopo mtaa wa Mwinuko.

Mzee Magabe alieleza mbele ya Mkuu wa Mkoa kuwa shamba lake lina ukubwa wa ekari mbili na amekuwepo hapo tangu mwaka 1987 wakati taarifa iliyowasilishwa na Idara ya Mipango Miji ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela inaonyesha eneo hilo limo ndani ya viwanja namba 658,659 na 661 villivyopimwa na kumilikishwa kwa AL-RAHBY.

Kutokana na mkanganyiko huo Mhe. Mongella aliwataka maofisa hao wa Ardhi kupitia tena mipaka ya eneo la Mzee Magabe na kufanya uthamini na uchunguzi wa kina wa mgogoro huo na taarifa hiyo kuwasilishwa kwake si zaidi ya tarehe 13/11/2017 na tarehe 14/11/2017 Mhe. Mkuu wa Mkoa amefika eneo la mgogoro kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo.



Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.