• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MKOA WA MWANZA WAPOKEA UGENI KUTOKA OFISI YA RAIS MAENDELEO YA VIJANA

Posted on: February 17th, 2026

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana ametoa wito kwa Wizara inayoshughulikia vijana kushirikiana na sekta mtambuka kama SIDO na TEMDO kuhakikisha wanaliingiza kundi hilo katika uzalishaji unaotumia teknolojia ya kisasa.

Ametoa wito huo mapema leo tarehe 17 Februari, 2026 ofisini kwake wakati alipowapokea na kuzungumza na ugeni kutoka Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana waliopo Mkoani humo kwa ziara ya kikazi.

“Nyie kama Wizara mnaoshughulikia vijana muna wajibu wa kuhusisha sekta zingine ili kubaini kama kuna miundombinu, mitaji au teknolojia rahisi za kukuza ubunifu wao ili kuhakikisha makundi ya ujasiriamali wanajiajiri kwa kutumia fursa zilizopo na kuleta tija.” Ndugu Elikana.

Aidha, ametoa rai kwa wizara hiyo kuangalia namna ya kuwaingiza vijana kwenye ajira zisizo rasmi kwa kuwaingiza kwenye ufugaji, kilimo na viwanda kama vya kutengeneza vyakula vya mifugo na kukuzia vifaranga vya samaki ili kulitoa taifa kwenye changamoto ya ajira kwa vijana.

Bw. Edward Haule, Mkurugenzi wa ufuatiliaji na tathmini na mratibu wa mfuko wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Maendeleo ya Vijana amesema Wizara imejipanga vema kuhakikisha kundi hilo muhimu kwa maendeleo ya taifa linapata ajira.

Ameongeza kuwa wizara inahakikisha kuwa vijana wanakuwa na shughuli endelevu zinazozalisha kipato na ajira kwa wengine na katika kufanikisha hayo Wizara itaandaa Mazingira wezeshi ya kimiundombinu na mitaji sambamba na kuhusisha taasisi binafsi.

Aidha, amewataka Vijana kuhamasika na kutumia fursa hiyo kwa kuanzisha Miradi yenye tija kulingana na rasilimali zinazopatikana kwenye Mazingira yao ili waweze kujumuishwa kwa urahisi kwenye programu za maendeleo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.