• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

Posted on: February 20th, 2026

Mkurugenzi Idara ya Menejimenti ya Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Hosea Ndagala leo tarehe 20 februari, 2026 amefunga mafunzo yaliyotolewa kwa siku 5 kwa timu ya kukabiliana na dharula mkoni Mwanza.

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya ufungaji Brigedia Ndagala amewataka wajumbe wa timu hiyo kuhakikisha wanauhisha taarifa za masuala ya maafa kwa wakati na kuelimisha jamii juu ya dharula na namna ya kukabiliana.

Aidha, amewataka wajumbe kuhakikisha wanatumia nyenzo za asili zinazopatikana kwa wananchi kuelewa njia rahisi za kukaniliana na maafa pamoja na dharula bila kusubiri msaada wa vifaa kutoka nje ambavyo vinaweza kuchelewa kutokana na asili ya janga.

“Tukizitumia redio zilizopo hapa wananchi wa chini kabisa watapata taarifa kwa wakati na watajiandaa dhidi ya janga linalokwenda kutokea ambalo limetolewa taadhari mathalani kama kuna mlipuko wa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.” Amefafanua.

Ameongeza kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu inaendelea kuboresha mifumo inayolenga kujenga jamii stahimilivu dhidi ya majanga na kuhakikisha vituo vinavyojengwa kwenye mikoa vinakuwa na wataalamu pamoja na vifaa vya dharula vya kutosha kwa kushirikiana na mdau UNDP.

Naye, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa huo Bw. Daniel Machunda ametumia wasaa huo kuishukuru ofisi ya Waziri Mkuu na ameahidi kuwa wajumbe watakuwa nyenzo ya kupunguza majanga ya Asili na yanayosababishwa na binadamu kutokana na uwezo waliojengewa.

Mwakilishi kutoka UNDP Bw. Abas Kitogo ameishukuru Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Shirika hilo huku akibainisha kuwa kwa kipindi kirefu wamekuwa wadau wakubwa wa miradi mbalimbali nchini na kwamba uwepo wa kituo hicho ni muendelezo wa vituo vingine kama kilichojengwa Jijini Dodoma.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.