• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mongella aweka historia Sizu tokea Uhuru

Posted on: February 11th, 2020



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella ameanza ziara yake ya kikazi  ya siku nne Wilaya ya Ukerewe na kupokea taarifa ya afya katika zahanati ya Sizu iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Wilaya Dtk.Raphael Mhana.
Dkt.Raphael amesema kuwa zahanati ya Sizu imejipanga kuhakikisha inapunguza vifo vya mama na mtoto kwa kuhamasisha kujifungulia kituo cha afya,pia kuwapa elimu ya kuhudhuria kliniki.

Aidha Tabibu Msaidizi Elizabeth John amesema kuwa wana changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na ufinyu wa jengo la kutolea huduma,kutokuwa na chanzo cha uhakika cha umeme na baadhi ya wakina mama kutokujifungulia kituoni na kutokuwa na usafiri wa uhakika  kwa ajili ya kusafirisha wagonjwa wa dharula.

"Zahanati ya Sizu ina watumishi wawili tu tofauti na mwaka jana ilikuwa na watumishi watatu,tunaendelea kuomba mamlaka husika ili kutuongezea watumishi, aliaema Elizabeth.

Akipokea taarifa hiyo Mkuu wa  Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amehoji matumizi ya dawa kwani amekuta hakuna bini kadi na amerekodi wagonjwa 25.
 "Inakuwaje kati ya wagonjwa 300 unarekodi 25 pekee na dawa zinaonekana kutumika unafanyaje kuomba dawa nyingine pindi zinapoisha au unabuni kichwani tu,alihoji Mongella.

Mhe.Mongella akihutubia wananchi katika viwanja vya Shule ya Msingi Sizu  amesema kuwa kwenye maendeleo lazima tujitoe ili kuhakikisha kuwa kila mmoja anashiriki.
Hata hivyo Mhe.Mongella amechangia shilingi laki moja kwa ajili ya ujenzi wa choo cha shule ya Msingi Sizu na wataka kila mmoja kushiriki katika shughuli za maendeleo.

Mhe.Mongella amekemea unyanyasaji na uvuvi haramu na kuongeza kuwa visiwani kusiwe sehemu ya uovu,ualifu na uvunjifu wa Sheria na kuwataka kila mmoja kuwa mlizi wa rasilimali za kijiji.
"Wote tuungane katika kutumia rasilimali zetu ili vizazi vijavyo binufaike na rasilimali hizi,alisema mongella."
Naye Mwekekiti wa Halmashauri George Nyamaha amesema kuwa tokea Nchi hii ipate uhuru 1961 ni mara ya kwanza kwa Mhe.Mkiu wa Mkoa kutembelea kisiwa cha Sizu kata ya Kagunguli iliyopo Kijiji cha Sizu.Kisiwa cha Sizu kina wakazi 6406 kwa takwimu ya 2020 na ilianzishwa  mwaka 1971.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.