• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mradi wa Sequip kutimiza ndoto ya Elimu kwa Wasichana waliokatiza masomo ya Sekondari

Posted on: June 7th, 2022


Mhe Mhandisi Robert Gabriel, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amewaasa waratibu wa Mradi wa Sequip unaolenga kuwapa fursa Wasichana waliokatisha masomo ya Elimu ya Sekondari kwa sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kuzingatia maagizo ya mradi huo ili kuhakikisha malengo yanatimia.


Mkuu wa Mkoa amebainisha hayo leo Juni 14, 2022 alipokua akifungua Warsha ya Siku 4 ya  kuwajengea uwezo waratibu na wawezeshaji 75 wa Vituo vya Mradi wa Sequip chini ya Taasisi ya Elimu ya Watu wazima kutoka Mwanza, Geita, Mara, Kagera, Kigoma, Manyara Shinyanga, Simiyu na Tabora ya katika Ukumbi wa Butimba TTC.


"Nampongeza sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa jambo hili maana kundi la mabinti waliokosa Elimu kwa sababu mbalimbali limepitia kwenye msukosuko mkubwa hivyo kuwaona na kuamua kuwasaidia ni jambo kubwa na lenye baraka mbele ya Mungu." RC Gabriel.


Dktr. Belingtone Mariki, Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya watu Wazima amesema kuwa mradi huo pamoja na mambo mengine umelenga kuwawezesha wasichana elfu tatu walioacha Masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ujauzito na kwa mwaka huu wamesajiri wasichana 3333 na walimu 802 watahusika ambapo Mkoa wa Mwanza una Vituo 14 vyenye wanafunzi 241.


"Sisi kama Taasisi tunaishukuru sana serikali kwa kutoa fursa hii ya kuhakikisha ndoto ya kupata elimu kwa mtoto wa kike inatimia kwani kupitia mradi huu tunaamini malengo ya Kumuinua mwanamke kiuchumi pia utatimia." Prof Sotko Komba, Makamu Mwenyekiti Baraza la Usimamizi la Taasisi ya Elimu a Watu Wazima.


Mkufunzi Mkazi wa Mwanza kutoka Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Ritha Kakwira amemshukuru Mkuu wa Mkoa  na amemhakikishia ushirikiano na Ofisi yake wakati wote katika utekelezaji wa mradi huo.


_Mwisho_

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.