• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mwanza waaswa kujitokeza kujiandikisha katika orodha ya mpiga kura

Posted on: October 8th, 2019

Zoezi la uandikishaji wananchi kwenye daftari la Mkazi mkoani Mwanza kwa ajili ya kurasimisha orodha kamili ya wapiga kura watakaoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa limeanza rasmi tarehe 8 ambapo litadumu hadi Octoba 14.

Akizungumuzia hali hiyo Msimamizi msaidizi wa kituo cha uandikishaji cha Polisi eneo la wazi mtaa wa PPF kata ya Kiseke Hellen Mcharo amesema mara nyingi watu husubiri siku zibaki chake ndiyo wajitokeze.

"Tumefungua kituo kwa wakati naona wananchi wanajitokeza wachache wachache  mara nyingi huwa wanasubiri hadi siku zipungue,"alisema  Mcharo.

"Kwa sababu ndiyo siku ya kwanza tunaamini kutokana na hamasa inayoendelea kutolewa basi kuanzia kesho idadi itakuwa kubwa zaidi ya leo."

"Sisi kama waandikishaji na wasimamizi  tunaendelea kuwahimiza viongozi wa vyama na serikali kutoa hamasa ili kuongeza  mwitikio wa wananchi kwenye zoez hili ili likamilike kwa wakati.

"Pia tunawaomba wale wananchi wachache waliojitokeza wawe kama mabalozi kwa wengine,  nawaishi  nao, wakazi wa Mwanza waachane na utamaduni wa kusubiri dakika za mwisho kwani tukumbuke zeozi hili ni la muda mfupi hivyo wajitokeze  mapema na kwa wingi ili tumalize kujiandikisha tuanze kujiandaa na uchaguzi,"alisema Mcharo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mwanza  Mhe. John Mongella, amesema kuwa ili kuongeza mwamuko kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha hamasa ya matangazo inatakiwa kufanywa usiku na mchana kila mtaa ili ambaye hajapata taarifa mchana basi aipate usiku.

"Mpaka sasa zoezi bado naliona linaenda taratibu japo ndiyo tunaanza niwasihi viongozi wa vyama ma serikali tushirikiane kuongeza  hamasa na wanaohusika  kufanya matangazo basi wafanye hivyo hasa wakati wa usiku ili ambao hawana taarifa hizi wazipate kwa utulivu zaidi, alisema Mongella.

"Nazani hata wasimamizi mnaona  wenyewe hadi sasa mmeshaandikisha wananchi ambao ni wachache sana ikilinganisha na idadi halisi ya wakazi wa mtaa huu  wanaotambulika mtaani kwenu kitu ambacho kinatukumbusha kuwaamusha zaidi wasio na taarifa.

"Tuhimizane usiku kucha ili tufanikishe zoezi hili kwa maaana wapo wengine bado uelewa wao ni mpaka wapate msisitizo ndiyo wanaelewa hivyo tujitahidi twende wote tuhakikishe hakuna mwananchi anayebaki nyuma ili mwisho wa siku uchaguzi utakapofika wananchi washiriki kwa wingi," alisema Mongella.

Mmoja ya wakazi  wa mtaa wa Buswelu A aliyejitambulisha kwa jina la Denis Jackson baada ya kujiandikisha ametoa wito kwa wananchi wengine kuja kwa wingi kujiandikisha kwani mbali na kuwa kufanya hivyo kunatoa haki ya msingi ya kupiga kura lakini pia zoezi la uandikishaji linakamilika ndani ya muda mfupi na halina usumbufu. 

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.