• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MWANZA WATOA MAONI YA NAMNA BORA YA KUKUSANYA KODI NCHINI

Posted on: January 13th, 2025

MWANZA WATOA MAONI YA NAMNA BORA YA KUKUSANYA KODI NCHINI


Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kukusanya maoni ya maborehso ya kodi Mhe. Balozi Ombeni Sefue ametoa rai kwa wafanyabiashara Mwanza kujenga tabia ya kulipa kodi ili kuipa nguvu Serikali na kuhakikisha inaweza kujitegemea kwa kuboresha miundombinu mathalani ya afya.

Ametoa wito huo leo Jumatatu tarehe 13 Januari, 2025 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati akifungua kikao cha wadau cha kukusanya, kupendekeza na kuwasilisha changamoto za masuala ya kodi nchini kilicholenga kuboresha namna bora ya pamoja ya kufikia malengo.

"Tanzania tija yetu ya kukusanya mapato bado ni ndogo ni kati ya asilimia 12 hadi 13 tu na haipaswi kuwa kuwa hivyo maana angalau tufikie asilimia 16 maana wananchi wanataka shule zijengwe, miundombinu ya afya iwepo tena ya kisasa je tutafikaje huko kama hatutakua na fedha." Mwenyekiti.

Mwenyekiti wa Chemba ya wafanya biashara Mwanza (TCCIA) Gabriel Chacha ametoa wito kwa Serikali kuondoa mfumo wa kukokotoa kodi ambao sio rafiki kwani haufuti taarifa za nyuma za uhai wa biashara na waondoe utitiri wa kodi kwenye biashara badala yake zilipwe kwenye mwamvuli mmoja.

"Changamoto nyingine ni sheria, faini na tozo hapa wafanyabiashara wanaumizwa sana na zinapaswa kupitiwa upya na kuzirekebisha maana adhabu zimewekwa kwa kiwango kimoja ambacho kinawaumiza moja kwa moja wajasiriamali." Ameongeza Bwana Chacha.

Wajumbe wengine wa tume hiyo ni Mhe. Balozi Maimiuna Tarishi Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Balozi Mwanaid Maajar, Prof. Mussa Assad, Prof Florens Luoga, CPA. David Tarimo, CPA. Leonard Mususa, CPA. Rished Bade pamoja na CPA Abubakari Abubakar.

Tume hiyo imeundwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kupokea maoni ya wadau juu ya kuwa na mfumo bora wa kukusanya mapato nchini pasipo malalamiko.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.