• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mwanza Yaja na Mkakati wa kuzuia na kupambana na Malaria

Posted on: September 17th, 2021

Serikali imekuja na mpango mkakati wa kuzuaia na kupunguza ugonjwa wa malaria nchini,kwa kutoa elimu na hamasa ya kuzuia ugonjwa huo kupitia wataalamu wa afya.

Akizungumza katika  semina ya kuzuia malaria nchini hapa kupitia serikali na wataalamu wa Wizara ya Afya hasa za mikoani,ambayo  imehudhuriwa na  wadau mbalimbali, Katibu Tawala Mkoa  wa Mwanza  Ngusa  Dismas Samike, alisema taratibu za kuzuia ugonjwa huu zianzie shule za msingi kupitia wataalamu wa afya  .

Alisema vituo vya afya vyote nchini viwe na vifaa maalumu vya kutibia malaria hii itasaidia  kupata na kukusanya takwimu sahihi  ambazo zitasaidia nchi  kuja na njia ambazo ni sahihi za kupambana na ugonjwa huu .

Aidha amesisitiza  kuwa serikali itaendelea kufanya kampeni dhidi ya magonjwa nyemelezi  kwajili ya afya za watanzania kwani maendeleo ya kupambana  na kuzuia malaria yanachangiwa na serikali pamoja na shirika la afya duniani ( WHO) hivyo mpango mkakati huu lazima uwafikie watu wote nchini .

"Lengo hasa la mpango mkakati  huu wa ni  kufahamu wapi wamefanya  vizuri na wapi wamefanya vibaya,   namna ya kuzuia na kupambana  nao kwa maeneo maambukizi yalipozidi  ,mpango kazi huu utajikita katika  maeneo mbalimbali ikiwemo Mara, Mwanza, Kagera, Kigoma, na Simiyu ili kuhakikisha ugonjwa huo unapungua kwa asilimia 1 sambamba na kuwafahamu wawekezaji wa mradi huu wa kuzuia malaria ambao ni pamoja na  Global Fund." alieleza.

Aidha katika semina hiyo walieleza   kuonesha  asilimia 30.3 ya wagonjwa waliolazwa kutokana na ugonjwa wa malaria kwa mikoa yote hapa nchini huku   viwango vya maambukizi kuwa asilimia 50 kutoka  14.8 asilimia kwa mwaka 2015. Vilevile viwango vya maabukizi kimikoa ni  Kigoma 24 , Geita  17 , Mara 13, Kagera na  Ruvuma  8 kwa mwaka 2021.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.