• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NAWAPONGEZA TMFD KWA KUCHAGUA KULIFANYIA KAZI ENEO LA UCHUMI WA BLUU: RC MTANDA

Posted on: April 9th, 2024

NAWAPONGEZA TMFD KWA KUCHAGUA KULIFANYIA KAZI ENEO LA UCHUMI WA BLUU: RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekipongeza Chama cha Waandishi wa habari kuendeleza shughuli za bahari na uvuvi Tanzania TMFD kwa kuchagua kulifanyia kazi eneo hilo ambalo Serikali imelitengea shs bilioni 60 ili kuhakikisha sekta hiyo inakuwa na tija.

Akizungumza Jumatatu hii kwenye kongamano la chama hicho lililofanyika kwenye ukumbi wa Mkutano Mwanza Hotel, Mkuu huyo wa mkoa amebainisha uamuzi wa kufanyia kazi eneo la uvuvi utachangia kuzidi kuimarika kwenye sekta hiyo na kuongezeka kwa ajira.

"Kwa kutambua umuhimu wa sekta ya uvuvi Rais Samia ametoa shs bilioni 60 ambazo zimelenga kufanyika uvuvi wa kisasa ukiwemo ufugaji wa samaki kwa vizimba na boti za kisasa za uvuvi,sasa kalamu yenu imeongeza tija kwani mtafanya utafiti wa kina katika habari zenu na Serikali kuufanyia kazi,"Mhe.Mtanda.

Mkuu huyo wa mkoa amesema shughuli ya chama hicho itaunufaisha sana mkoa wa Mwanza ambao asilimia 53 ni maji ya ziwa Victoria,hivyo idadi kubwa wanaojishughulisha na uvuvi watafanya kazi zao kisasa zaidi.

"Mlichokifanya kwenye kongamano hilo ni kuishi kwenye maono ya Rais Samia ya kutoa fursa kupitia uchumi wa bluu,hatua hii ni jitihada nzuri za kumuunga mkono kiongozi wetu ambaye anataka kuona maendeleo ya kasi kwa wananchi.

Kwa upande wake mkurugenzi wa chama hicho Edwin Soko amesema wana mwaka mmoja na nusu tangu waanze shughuli zao lakini wanazidi kupata matokeo chanya kutokana na kuungwa mkono na Taasisi za Serikali na zisizo za Kiserikali.

"Mhe Mkuu wa mkoa katika kuhakikisha tunafanya shughuli zetu kwa uhakika tuna utaratibu wa kuwajengea uwezo waandishi wetu na kutoa tuzo kwa wale wanaofanya vizuri,"

Sekta ya uvuvi kwa Mkoa wa Mwanza inachangia pato la mkoa kwa asilimia 7 wakati Taifa inachangia asilimia 1.8

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.