• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NDEGE ZISIZO NA RUBANI MBIONI KUANZA DORIA ZIWA VICTORIA -WIZARA

Posted on: December 2nd, 2024

NDEGE ZISIZO NA RUBANI MBIONI KUANZA DORIA ZIWA VICTORIA -WIZARA


Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika mkakati wake wa kuboresha sekta ya Uvuvi na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji ipo mbioni kuanza doria ziwa Victoria kwa kutumia ndege zisizo na rubani lengo likiwa ni kuboresha sekta hiyo na kuchangia zaidi katika pato la Taifa.

Akizungumza leo Disemba 2, 2024 kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo katika mkutano wa kupokea maoni ya kuboresha kanuni za uvuvi na wadau wa sekta hiyo kwenye ukumbi wa mikutano wa Nyakahoja, Mkurugenzi wa uvuvi Prof. Mohamed Sheikh amebainisha Serikali imedhamiria kuimarisha uchumi wa bluu utakao kuwa na tija kwa mwananchi na Taifa kwa ujumla.

"Tunaanzia na ndege 5 na ziwa Victoria tutakuwa nazo mbili na hili zoezi litaanza mwaka ujao wa fedha,hatua hii itasaidia kutokomeza uvuvi haramu na kuwa na uhakika wa usalama wa viumbe maji,"amesisitiza mkurugenzi wa uvuvi wakati wa kufungua kikao kazi hicho cha kupokea maoni.

Ameongeza kuwa sekta ya uvuvi bado inachangia %1.8 katika pato la Taifa kiwango ambacho ni kidogo kulinganisha na ukubwa wa uchumi utakanao na sekta hiyo,hivyo mkakati uliopo sasa ni kuhakikisha maboresho yenye tija yanafanyika.

Prof.Sheikh amekwenda mbali zaidi kwa kubainisha maboresho hayo sasa yatakuwa na mvuto zaidi kwa wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi hasa baada ya kuwa na uhakika wa mazingira mazuri na wingi wa rasilimali zilizopo.

"Tumekuwa na utaratibu wa kuyafunga maziwa kwa muda hasa katika shughuli za uvuvi wa dagaa,tumeona namna zoezi hili lilivyokuwa na tija wanaporudi kuvua upatikanaji unakuwa wa kiwango kikubwa na soko linakuwa zuri",mkurugenzi wa uvuvi

Kwa upande wao wadau wa sekta ya uvuvi mkoani Mwanza wakiwemo wasindikaji wameishukuru Serikali kwa uboreshaji wa sekta hiyo na kuweka mazingira mazuri ya uvuaji wa kisasa zikiwemo boti zenye kuonesha dagaa au samaki walipo na ufugaji kwa kutumia vizimba.

"Ombi letu kwa Serikali tunaomba kupunguzwa kwa utitiri wa tozo ambao unapunguza vipato vyetu na kuiboresha mialo ambayo mingi haina mazingira rafiki hasa kwa wanawake wanaolazimika kuingia majini",Bi.Fatma Katula,msindikaji wa minofu ya samaki.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.