• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NMB YAKABIDHI VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 62

Posted on: June 6th, 2024

NMB YAKABIDHI VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 62


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameishukuru Benki ya NMB kwa kutoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shililingi milioni 62 katika sekta za Elimu, Afya na huduma zingine za kijamii vikielekezwa kuchagiza maendeleo.

Hayo yamejili mchana wa leo Juni 06 , 2024 katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Hospitali, Shule, kituo cha Polisi Malya na Gereza la Butimba kwenye viwanja vya Hospitali ya wilaya ya Kwimba ambapo baada ya kukabidhiwa naye amevikabidhi ili vikaanze kutumika.

Mhe. Mtanda ameongeza kuwa katika hisa za Benki hiyo asilimia 31.8 ni za Serikali lakini benki hiyo imekua bega kwa bega kusaidia wananchi kwa kushirikiana na Serikali katika mambo kadhaa wa kadhaa ya kijamii.

Aidha, amewataka wananchi wa Kwimba na wana Mwanza wote kuichagua benki ya NMB katika huduma za kifedha kwani wana bidhaa bora na za kisasa hususani mikopo kwa jamii katika kukuza mitaji ya biashara.

Godfrey Martine, Kaimu Meneja NMB kanda ya ziwa amesema kuwa wanajivunia kuchangia maendeleo ya wananchi kwa kutoa sehemu ya faida kwenye miradi mbalimbali hususani sekta za elimu na afya.

Aidha, amebainisha kuwa pamoja na NMB leo kutoa madawati, bati na vifaa vingine vya kuezekea, vifaa vya Hospitali, Viti na Meza kwa ajili ya kituo cha Polisi Malya, vifaa vya Magereza vikiwa na thamani ya jumla ya shilingi milioni 62 wanafanya hivyo kwa miaka saba mfululizo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • FAMILIA NI NGUZO IMARA KATIKA KULINDA MAKUZI YA MTOTO: DKT. BITEKO

    May 24, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.