• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza yamfariji Naibu Waziri Mary Masanja

Posted on: July 11th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel ametoa rai kwa familia ya Mzee Masanja kuwa na subira na kumtumaini Mungu kama mfariji Mkuu kufuatia Kifo cha mzee Charles Masanja kilichotokea Julai 06, 2022 katika Hospitali ya Bugando kutokana na matatizo ya Moyo na kuzikwa katika kijiji cha Badugu-Busega Mkoani Simiyu tar 09, 2022.

Kwa majonzi makubwa Mhe Mkuu wa Mkoa ametoa ubani huo mapema leo nyumbani kwa Mzee Charles Masanja katika mtaa wa Kilimahewa Mjini Mwanza alipofika nyumbani hapo kutoa pole kwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja ambaye ni mwanafamilia, ndugu na jamaa.

"Poleni sana kwa msiba huu mzito, Mungu awape nguvu na faraja, niwasihi ninyi kama familia wenyewe muwe sehemu ya matumaini kupitia vikao vyenu na tumshukuru Mungu siku zote kwa uhai wa wazee hawa na muendelee kupendana." Mkuu wa Mkoa.

Naye, Mhe Mary Masanja, amemshukuru Mkuu wa Mkoa na viongozi wote Mkoani humo kwa Ushirikiano katika kipindi cha uhai wa mzee Masanja na hata wakati wa majonzi yalipowapata na amemtakia kheri katika kuuongoza Mkoa huo wenye vivutio lukuki vya utalii.

Aidha, Mhe Masanja ametoa pole kwa Mkoa kufuatia kuunguliwa Moto kwa Bweni la wanafunzi kwenye shule ya Sekondari ya wavulana Bwiru uliotokea mwishoni mwa mwezi Juni 2022 na amemtia moyo Mkuu wa Mkoa kuwa na ujasiri kupitia tatizo hilo huku akibainisha kuwa ofisi yake ipo pamoja nao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.