• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

PROF. MBARAWA ATAKA UPANUZI WA BANDARI YA MWANZA KASKAZINI KUHARAKISHWA

Posted on: January 24th, 2025

PROF. MBARAWA ATAKA UPANUZI WA BANDARI YA MWANZA KASKAZINI KUHARAKISHWA


Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amewataka Mamlaka ya bandari nchini kushirikiana na Mkandarasi anayejenga mradi wa upanuzi wa maboresho ya bandari ya Mwanza Kaskazini kutekeleza ujenzi huo kwa kuzingatia ubora ili thamani ya fedha ionekane.

Ametoa agizo hilo leo Januari 24, 2025 jijini Mwanza alipotembelea bandarini hapo kukagua utekelezaji wa ujenzi huo unaogharimu zaidi ya Tshs. Bilioni 18 ukihusisha upanuzi wa gati kutoka mita 98 hadi 115 pamoja na jengo la ghorofa la abiria.

Prof. Mbarawa amesema ni vema mkandarasi na wasimamizi kuzingatia uzalendo kwa Taifa kufuatia adhma ya Serikali ya uboreshaji wa gati hizo ikiwemo ya Kemondo na Bukoba ambapo kwa ujumla zitakapokamilika zitawezesha Meli kubwa ya MV Mwanza kuweza kutia nanga.

Aidha, amewataka kitengo kinachoshughulika na utengenezaji wa maboya kwa ajili ya kusaidia kutia nanga kwa meli kuharakisha na kuyaweka kwenye bandari zote ili kurahisisha utiaji nanga na kutunza meli zisipate hitilafu.

Halikadhalika, amewataka Kampuni ya Meli Tanznania (TASHICO) kukamilisha ujenzi wa Meli ya MV Mwanza inayojengwa katika bandari ya kusini kabla ya mwezi Mei mwaka huu kwani tayari upanuzi wa bandari utakua umekamilika hivyo huduma za usafirishaji zinatarajiwa kuanza.

Akihitimisha na ziara yake, Waziri Mbarawa ametembelea Kituo cha kikanda cha kuratibu, kutuatilia na Uokozi linapotokea dharula Majini kinachojengwa katika mwambao wa ziwa viktoria wilayani Ilemela na akawataka kuharakisha ukamilishaji.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.